Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 06

Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 06

Maelezo

Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni kukithirisha chakula yaani chakula kidogo kukifanya kingi, pia imezungumzia muujiza wa Mtume (s.a.w) wa kukithirisha chakula uliotokea kwa Swahaba Abuu Twalha na Jabir (r.a).

Download
Tuma maoni kuhusu ukurasa huu kwa msimamizi