Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 06
Maelezo
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni kukithirisha chakula yaani chakula kidogo kukifanya kingi, pia imezungumzia muujiza wa Mtume (s.a.w) wa kukithirisha chakula uliotokea kwa Swahaba Abuu Twalha na Jabir (r.a).
- 1
YOUTUBE 0 B
- 2
MP4 176.9 MB 2019-05-02
- 3
MP3 26.1 MB 2019-05-02