Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 07
Maelezo
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni muujiza uliotokea kwa Abuu Ayyubul-Answar (r.a), pia imezungumzia kwa ufupi historia ya vita vilivyoteka Tabuki, na muujiza wa Mtume (s.a.w) uliotokea katika vita hivyo.
-  1YOUTUBE 0 B 
-  2MP4 180.1 MB 2019-05-02 
-  3MP3 26.3 MB 2019-05-02