Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 07
Maelezo
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni muujiza uliotokea kwa Abuu Ayyubul-Answar (r.a), pia imezungumzia kwa ufupi historia ya vita vilivyoteka Tabuki, na muujiza wa Mtume (s.a.w) uliotokea katika vita hivyo.
- 1
YOUTUBE 0 B
- 2
MP4 180.1 MB 2019-05-02
- 3
MP3 26.3 MB 2019-05-02