Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 08
Maelezo
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni mti kushuhudia kuwa Allah ni mmoja na Muhammad (s.a.w) ni Mtume wa Allah mbele ya Bedui (Mwarabu wa mashambani), pia imezungumzia vitimbi alivyofanyiwa Mtume (s.a.w).
- 1
YOUTUBE 0 B
- 2
MP4 176.2 MB 2019-05-02
- 3
MP3 26 MB 2019-05-02