Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 09
Maelezo
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni muujiza uliotekea wakati wa kukidhi haja katika jangwa la Afiyah, pia imezungumzia muujiza ambao jiwe lilikua likimtolea salam Mtume (s.a.w) kabla ya kupewa utume.
- 1
YOUTUBE 0 B
- 2
MP4 178.8 MB 2019-05-02
- 3
MP3 26.3 MB 2019-05-02