Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 10

Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 10

Maelezo

Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni muujiza uliotokea wakati akila chakula na Maswahaba wake na chakula kile kikawa kinamtaja Allah, pia imezungumzia muujiza wa mbwa mwitu kutoa habari za Mtume Muhammad (s.a.w) kwa mchunga mbuzi.

Download
Tuma maoni kuhusu ukurasa huu kwa msimamizi