Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 10
Maelezo
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni muujiza uliotokea wakati akila chakula na Maswahaba wake na chakula kile kikawa kinamtaja Allah, pia imezungumzia muujiza wa mbwa mwitu kutoa habari za Mtume Muhammad (s.a.w) kwa mchunga mbuzi.
- 1
YOUTUBE 0 B
- 2
MP4 182.7 MB 2019-05-02
- 3
MP3 26.8 MB 2019-05-02