Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 22
Maelezo
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni muujiza uliotokea wa kujibu maswali matatu aliyoulizwa na Abdallah bin Salam, pia imezungumzia namna Malaika Jibril alivyomjia Mtume (s.a.w) na kumpa majibu.
- 1
YOUTUBE 0 B
- 2
MP4 184 MB 2019-05-02
- 3
MP3 27 MB 2019-05-02