Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 28

Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 28

Maelezo

Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni Dua aliyo muombea Swahaba Abdu Rahman bin A’ufy (r.a) na ikaleta maajabu na natija kubwa sana, pia imeelezaa kwa ufupi kisa cha Sa’ad bin Abi Waqaas.

Download
Tuma maoni kuhusu ukurasa huu kwa msimamizi