Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 30

Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 30

Maelezo

Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni dua aliyomuombea Swahaba Abdi LLahi bin Abbas (r.a) ya kwamba Allah amzidishie elimu, pia imezungumzia umuhimu wa kujifunza kupitia miujiza ya Mtume (s.a.w).

Download
Tuma maoni kuhusu ukurasa huu kwa msimamizi