Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 31
Maelezo
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya dua za Mtume (s.a.w) ni muujiza uliotokea katika dua aliyomuombea Utba bin Abi Lahbi baada ya kumfanyia maudhi Mtume (s.a.w), pia imezungumzia hatari ya kumuudhi Mtume (s.a.w).
- 1
YOUTUBE 0 B
- 2
MP4 178.6 MB 2019-05-02
- 3
MP3 51.9 MB 2019-05-02
Utunzi wa kielimu: