Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 34

Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 34

Maelezo

Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni kwamba aliyomuombea dua Qaisi bin Zaidi (r.a) kisha akapangusa kichwa chake sehem ile aliyoigusa Mtume (s.a.w) haikuota mvi mpaka anakufa, pia imezungumzia muujiza wa Mtume (s.w.a) kwa Abuu Hurera (r.a).

Download
Tuma maoni kuhusu ukurasa huu kwa msimamizi

Utunzi wa kielimu: