Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 38
Maelezo
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni muujiza uliotokea kwa Abuu Jahli alipotaka kumdondoshea jiwe Mtume (s.a.w) wakati akiswali, lile jiwe likamng’ang’ania mikononi, pia imezungumzia muujizaa Mtume (s.a.w) uliotokea kwa Fudhwaala bin Ubaad (r.a).
- 1
YOUTUBE 0 B
- 2
MP4 185.9 MB 2019-05-02
- 3
MP3 53.5 MB 2019-05-02
Utunzi wa kielimu: