Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 41

Miujiza Ya Mtume (s.a.w) 41

Maelezo

Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni mambo ya shari aliyomwambia Swahaba Hudhayfa bunil-Yamany (r.a) kwamba yatatokea katika zama hizi, pia imezungumzia ushauri na wasia wa Mtume (s.a.w) kwa Hudheyfa (r.a).

Download
Tuma maoni kuhusu ukurasa huu kwa msimamizi

Utunzi wa kielimu: