عرض المواد باللغة الأصلية

أعلام وشخصيات

عدد العناصر: 139

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 221

    Saad bin Saeed Al-Ghamdi, Msomaji maarufu mwenye sauti nzuri, imam na mhubiri msikiti wa Kano - Dammam - Saudi Arabia, na msimamizi mkuu wa kituo cha Imam Shatwiby cha Koran tukufu Dammam.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

  • سواحيلي

    مؤلف, مُراجع, ناشر, عدد العناصر : 742

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 2

    -Shekh Saidi Mtatuu Mango: Ni mwanafunzi katika Chuo kikuu cha kiislamu cha Imamu Muhammad Bin Soud Nchini Saudi Arabia. Pia ni mlinganiaji katika mji wa Singida.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Shekh Saidi Nyange:

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 11

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, مُراجع, عدد العناصر : 155

    Imamu na khatwibu wa Msikiti wa Mtume (s.a.w).

  • سواحيلي

    مؤلف, مُراجع, عدد العناصر : 575

    Mjumbe wa Baraza la Wasomi Wakubwa katika nchi ya Saudi Arabia

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 2

    Shekh Salim Bafadhili: Ni naibu Mudiri katika taasisi ya Answar, na ni mwalimu katika chuo cha Maahad Imamu Shafii na Ummu Salama, pia ni mlinganiaji katika misikiti ya yote ya Answar Tanga Tanzania.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 41

    Shekh Salim Barahiyani: Amemaliza masomo yake katika Chuo kikuu cha kiislamu cha Imamu Muhammad Bin Soud Nchini Saudi Arabia. na amehitimu masomo ya Masta nchini Pakistan, nimlinganiaji mashuhuri Kwa sasa ni mlinganiaji katika mji wa Tanga na ni Mudir katika Markaz za Answar nchini Tanzania.- فضيلة الشيخ سالم عبد الرحيم بارحيان، تخرج في جامعة الإمام محمد بن سعود الإسلامية، بالرياض، والماجستير في باكستان، هو مدير مركز أنصار للشباب الإسلامي في مدينة تانغا تنزانيا، فهو من الدعاة المشهورين في تنزانيا.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 8

    -Shekh Salim Qahtwani: Amemaliza masomo yake ya Dini nchini Sudan, kwa sasa ni mlinganiaji kupitia chanel ya Tv Afrika na ni khatwib ktika Misikiti ya Answar Tanga, pia ni mwalimu katika Maahad Imamu Shafii na Ummu Salama, Tanga Tanzania.

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 184

    Imamu na khatwibu wa Msikiti mtakatifu

  • سواحيلي

    مؤلف, مُراجع, عدد العناصر : 75

    Shekh Shahidi Muhammad Zaid: Amehitim masomo yake katika Chuo kikuu cha kiislamu cha Imamu Muhammad Bin Soud Nchini Saudi Arabia. Ni mlinganiaji katika mji wa Mwanza Tanzania.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 15

    Shekh Shamsi Ilmi: Ni mlinganiaji kupitia chaneli ya Tv Afrika na Redio Qiblatein Iringa, pia ni Katibu katika taasisi ya Dhinurayni nchini Tanzania.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 31

    Sharifu Abdul Adhwiim amezaliwa Kairo mwaka 1964. Alihitimu kutoka Kitivo cha Uhandisi katika Chuo Kikuu cha Cairo, Idara ya Mawasiliano mwaka 1986.Alipata shahada ya udaktari(PHD) kutoka Canada mwaka 1997. na Nimwalim Msaidizi,Kitivo cha Uhandisi Idara ya Mawasiliano katika Chuo Kikuu cha Cairo, na amechukuliwa kwamuda na Chuo Kikuu cha Marekani,nimuasisi na niraisi wa Bodi ya Ujumbe Association kwa Uhisani.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Msomaji wa Misri

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1985

    Ni Abuu Abdillah Muhammad Ibn Swaleh bin Swaleh bin Sulaiman bin Abdul Rahman bin Othman bin Abdullah bin Abdulrahman bin Ahmed bin Muqbil katika Ali Muqbil katika Al Raes Al Wahbiy AlTamimi, na Babu yake wa nne Othman ndie alie itwa Uthaymeen, akajulikana kwa jina hilo, nae nikatika kizazi cha Wahb katika ukoo wa Tamiim , kutoka katika sehemu inaitwa Alwashmu mpaka Unayzah.

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 27

    Sheikh Abubakar Shatwiry kazaliwa mwaka 1970 م, na ameishi ktk mji wa Jidda, pia ni Imamu ktk Muskiti wa Furqan mtaa wa Nasim Jidda. kisha owa, ana watoto (4), anaitwa Baba Abdurrahman. Masomo yake: Anacho kibali cha Qur-ani Tukufu kwa upokezi wa Hafswa kutoka kwa A'swim kapokea kibali hicho kutoka kwa Sheikh Aiman Rushdi Suwaidi mwaka 1416 هـ Anayo digri ya pili ya Mahesabu ameipata mwaka 1420 هـ.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Shekh Ahmad Khalil Shahin