عرض المواد باللغة الأصلية

أعلام وشخصيات

عدد العناصر: 153

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Msomaji wa asili ya Bosnian, na imamu wa msikiti wa Zagreb, Croatia.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Shekh Basil Bin Abdul-Rahman al-Rawi: Amezaliwa Iraq katika mji wa Baghdad mwaka 1953, alimaliza masomo yake katika chuo kikuu cha Baghdad katika kitivo cha kanuni na siasa mwaka 1975 na alipata nafasi ya kwanza wakati huo, na wizara ya mambo ya nje ilimuomba afanye kazi kama diplomasia mwaka 1977, na akaacha kazi mwaka 1990, akashughulika na kusoma Qur'an kuihifadhi na kuifundisha.

  • سواحيلي

    مؤلف, مُراجع, عدد العناصر : 324

    Abu Ameenah Bilal Philips alizaliwa katika Jamaica,Na kukulia katika Canada ambapo yeye alitangaza uongofu wake kwa Uislamu mwaka 1972.Alikamilisha Stashahada kutoka Kitivo cha Kiarabu workouts Kiislamu katika Chuo Kikuu cha Kiislamu Madina almunawara mwaka 1979.Na alikamilisha shahada ya bwana katika dini kutoka Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Riyadh, Chuo cha Elimu mwaka 1985.Katika masomo ya Kiislamu Idara katika Chuo Kikuu cha Wallis,Kukamilika udaktari katika misingi ya Kiislamu mwaka 1994. Mwaka 1994, Dk Bilal alianzisha Kituo cha Habari cha Kiislamu katika mji wa Dubai,katika Falme za Kiarabu, na sasa kinajulikana Discover Islam. Kama alivyo anzisha kitengo cha fasihi ya kigeni katika House press Sharjah Islamic conquest.

  • سواحيلي

    مصدر, عدد العناصر : 17

    Chama cha aal-na alashab Kuanzishwa kwake:ilianzishwa jumuiya ya aal-na alashab katika nchi ya ufalme wa Bahrain Uamuzi wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii No(32) mwa 2006 M. Muono wetu:Kuwapenda watu wa familia ya mtume na maswahaba zake nikatika kumpenda Mtume (Alayhi swalatu wassalam). Ujumbe wetu:Tunafanya jitihada za kusahihisha ufahamu potovu yanayo husiana na mafungamano ya familia ya mtume ilio twaharika na maswahaba zake watukufu. Malengo yetu:Nikusambaza urithi wa familia ya mtume ilio twaharika na maswahaba zake watukufu,kwa yale yanayo endana na cheochao cha juu kwa waislamu. Kuonyesha Mahusiano ya undugu baina ya familia ya mtume ilio twaharika na maswahaba zake watukufu,nakupandikiza apenzi ya kuipenda familiya ya mtume na maswahaba zake katika nafsi za waislam. Kudhihirisha majukumu ya familia ya mtume na maswahaba zake katika kuutumikia uislam,kutokana na kushikamana kwao na Quraan tukufu,na Sunna za mtume (swala Allahu alayhi wasalama) Kukuza mshikamano wa taifa kwa njia imani potofu zilizo wazi katika mawazo ya baadhi ya Waislamu kwasababu ya familia ya mtume na maswahaba zake watukufu. Katika Matoleo ya Jumuiya:Kuwalinda familia ya mtume na maswahaba zake watukufu. Ushindi wa Allah mwenye sifa ya kutoa bure katika kuzungumzia ubora wa familia ya mtume na maswahaba zake watukufu.-

  • سواحيلي

    مصدر, ناشر, عدد العناصر : 93

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 115

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 14

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 4

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 28

    Fares Abbad: Msomaji hodari kwa sauti nzuri, na ni wa asili ya Yemen, karekodi mada ya matini za kielimu kwa sauti ukiongezea Koran kamili, na ni Imam msaidizi katika Msikiti wa Aly bin Abi Twalib katika mji wa Doha katika ukanda wa mashariki Saudi Arabia kanda.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 2

    Msomaji wa asili wa Yemen, naye ni imamu na khatwibu wa msikiti wa Khalid bin Walid Al-Rayyan, Qatar.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 47

    Ghazi bin Ali Sultan Dagestani Amehitimu masomo yake ya Chuo Kikuu cha Kiislamu Madina

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 2

    Sheikh Hamza Rajabu Seyfu ni mmoja katika walinganiaji wa mji wa Mwanza nchini Tanzania kamaliza chuo kikuu nchini Saudi arabia kitengo cha Sheria (Usuluddin) ni Imamu na khatwibu katika masjid Taqwa jijini Mwanza yupo katika manhadi ya salafu sswaleh.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 6

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 42

    Shekh Hashim Rusaganya: Amehitimu masomo yake katika Chuo kikuu cha kiislamu Madina Nchini Saudi Arabia. Kwa sasa ni katika walinganiaji wakubwa Nchini Tanzania, na ni muongozaji wa Mahujaji wakati wa Hijja.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 23

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 5

    Shekh Hilal Shaweji Kipozeo: Ni mlinganiaji maarufu katika nchi ya Tanzania, pia ni mtoa Darsa katika misikiti mbalimbali jijini Dar Es Salaam.

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 91

    Imamu na khatwibu wa Msikiti wa Mtume (s.a.w).

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 9

    Shekh Husseni Saidi Sembe: Ni mlinganiaji katika mkoa wa Kilimanjaro, na ni Imamu na Khatib katia Msikiti wa Answari Moshi Tanzania.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 159

    Ibn Qayyim Abu Abdullah al-Shams al-Din Muhammad bin Abi Bakr ibn Ayyub bin Saad bin Hariiz bin Makki Zainuddin kisha Kisha nimtu kutoka Damascus na anafuata Madhehebu ya Hanbali, anajulikana kwa jina la Ibn Qayyim Al-Jawziyya, Kazaliwa siku ya saba ya mwezi wa Safar Mwaka 691 H. Na alifariki usiku wa Alkhamisi 13/7/751 Mwenyezi Mungu amrehemu.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 56

    Nimhitimu wa Kitivo cha Sharia,na anajihusisha na kufanya daawa kwanjia ya mitandao kwa njia ya mazungumzo na tovuti tofauti,ameanzisha tovuti nyingi za kiislam,ikiwemo : http://www.islam-guide.com na http://www.islamreligion.com,na nimwandaaji na mkusanyaji mashuhuri wa kitabu: "Mwongozo ulio fupishwa kwaajili ya kuufahamu uislam".Ambacho kimetafsiriwa kwa lugha zaidi ya 45 na kuchapishwa kwake mamilioni.