عرض المواد باللغة الأصلية

أعلام وشخصيات

عدد العناصر: 153

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Amezaliwa Libanon 1966,na amepata Na ana shahada ya udaktari(PHD)katika lugha ya kiarabu,na alipata shahada ya diploma yajuu,nastashahada katika masomo ya Kiislamu (masomo utaalamu)

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Imad Zuhair Abdulqadir Hafidh: Amezaliwa katika mji wa Madina mwaka 1382 Hijiria, akapata elimu ya udokta katika chuo kikuu cha kiislam Madina mwaka 1412 Hijiria, alikua Imamu na khatwib katika Msikiti mkuu wa Manaratayn, na Msikiti wa Qubah, na alikua Rais katika jumuiya ya kuhifadhi Qur'an tukufu katika mji wa Madina.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 2

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Shekh Jabir Yusuf Katura: Amemaliza masomo yake katika chuo kikuu cha kiislam Madina nchini Saudi Arabia. Kwa sasa ni mlinganiaji na khatwib katika Msikiti wa Ijumaa Mwanza, pia ni Mudir katika Markaz ya Thaqafah, Mwanza Tanzania.-

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Jazzai Bin Flaih Alswuweylh: Amezaliwa mwaka 1969, ni mmoja kati ya wasomaji maarufu katika Nchi ya Kuwait, na alimaliza masomo yake ya sheria na Qur'an na tajweed katika chuo kikuu cha Kuwait.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Shekh Juma Amir: Ni mlinganiaji na Khatib katika Msikiti wa Jamia Nairobi Kenya.-

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Msomaji kutoka Misri

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 2

    Kazaliwa Makkah, na ana Shahada ya Kwanza ya Qur'an Mafunzo ya Chuo cha Walimu Jeddah, nae ni mmoja wa maimamu wa misikiti Jeddah, Saudi Arabia.

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 16

    Imam wa Msikiti wa Marehemu Abdul Razak Qanbar Ansari - Mtaa wa Nakhil - Dammam

  • سواحيلي

    مصدر, ناشر, عدد العناصر : 72

  • سواحيلي

    مؤلف, مُراجع, مترجم, عدد العناصر : 596

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 13

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 14

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Msomaji wa Misri mwenye sauti tamu, na mwenye kibali (ijaza) cha kumasomo visomo aina kumi, na ana nakala kadhaa za Qur'ani kwa riwaya mbalimbali.

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 24

    Imamu wa Msikiti Mkuu wa Makkah.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Shekh Mahmoud Ahmad Abdulhakam: Amezaliwa siku ya jumatatu sawa na 1February 1915 katika kijiji cha Karnak, amehifadhi QUR'AN Misri katika Chuo cha Azhar, na alishiriki katika kuanzisha umoja wa wasomaji wa Qur'an, alifariki siku ya jumatatu sawa na 13September 1982, Mwenyezi Mungu amrehem.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 1

    Msomaji maarufu wa Morocco.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 5

    Shekh Muhmmad Sharifu Famau: Alikua ni mlinganiaji maarufu nchini Kenya, pia alikua ni Mudir katika Madrast Tawhid mpaka alipofariki dunia katika mji wa Malindi nchini Kenya, Allah amsamehe na amrehem, Ameen!.-