عرض المواد باللغة الأصلية

أعلام وشخصيات

عدد العناصر: 153

  • سواحيلي

    مصدر, ناشر, عدد العناصر : 72

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 91

    Imamu na khatwibu wa Msikiti wa Mtume (s.a.w).

  • سواحيلي

    مؤلف, مُراجع, عدد العناصر : 84

    Idara ya Utafiti wa kielimu katika Chuo Kikuu cha Kiislamu Madiana Almunawarah

  • سواحيلي

    مصدر, ناشر, عدد العناصر : 93

  • سواحيلي

    مصدر, ناشر, عدد العناصر : 101

    Tovuti maalum ya Chuo kikuu cha kiislam cha Madina

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 123

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, مُراجع, عدد العناصر : 155

    Imamu na khatwibu wa Msikiti wa Mtume (s.a.w).

  • سواحيلي

    مؤلف, مُراجع, قارئ, عدد العناصر : 521

    Imamu wa Msikiti wa Mtume Mtukufu

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 159

    Ibn Qayyim Abu Abdullah al-Shams al-Din Muhammad bin Abi Bakr ibn Ayyub bin Saad bin Hariiz bin Makki Zainuddin kisha Kisha nimtu kutoka Damascus na anafuata Madhehebu ya Hanbali, anajulikana kwa jina la Ibn Qayyim Al-Jawziyya, Kazaliwa siku ya saba ya mwezi wa Safar Mwaka 691 H. Na alifariki usiku wa Alkhamisi 13/7/751 Mwenyezi Mungu amrehemu.

  • سواحيلي

    مصدر, ناشر, عدد العناصر : 113

    Tovuti ya kidaawa ya islamic-invitation Inayo ongeza mada za kidaawa tofauti kwa lugha tofauti.

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 157

    Imamu na khatwibu wa Muskiti mtakatifu. .

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 184

    Imamu na khatwibu wa Msikiti mtakatifu

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 160

    Shaykh Al-Islam Ibn Taymiyyah Mungu Amrehemu: Ahmad Taqiy Al-Din Abu Al-Abbas Bin Abdul Halim Bin Abdul Salam Bin Abdullah Bin Abu Al-Qasim Alkhadhwar Bin Mohammed Bin Khadhwar Bin Ali Bin Abdullah Ibn Taymiyyah Al Harrany. Wametaja wanachuoni wa Tarjama Qauli tofauti katika sababu ya ya kuitwa familia yake kwa jina la (Al Taymiyyah), miongoni mwa Qauli zao, niqauli ya Ibn Abdul Hadiy Allah amrehemu: (Babu yake Muhammad mama yake alikuwa anaitwa Timiyyah), na alikuwa nimtoa Mawaidha akanasibishwa na Taymiyyah.na Inasemekana : Hakika babu yake Muhammad Bin Khadwar alifanya Hajji akaona mtoto kwa mbali, alipo rudi alimkuta mke wake amejifunguwa mtoto wa kike akasema :Ewe Taymiyyah ewe Taymniyyah,Akaitwa hivyo.

  • سواحيلي

    مؤلف, مُراجع, عدد العناصر : 160

    Mwana chuoni Shekh Muhammad Nasiruddin Al-Albani ni mmoja ya wanachuoni wa kiislam Mashuhuri katika zama za sasa na anazingatiwa Shekh Al-Albani nikatika wanachuoni wa Fani ya Hadithi mashuhuri wakipekee katika elimu ya Jarhi na Taadili (Kukosowa), Shekh Al-Albani ni Hoja katika Elimu ya Misingi ya Hadithi (Mustwalahu Alhadithi), walimzungumzia wanachuoni wa fani ya Elimu ya Hadithi kwamba Shekh Al-Albani alirudisha fani ya Hadithi katika zama za Ibn Hajar Al- Asqalan, na Alhafidh Ibn Kathir na wenginewe katika wanachuoni wa Fani ya Jarhi na Taadili. Jejea :Tovuti ya Imamu Al-Albani.http://www.alalbany.net

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 221

    Saad bin Saeed Al-Ghamdi, Msomaji maarufu mwenye sauti nzuri, imam na mhubiri msikiti wa Kano - Dammam - Saudi Arabia, na msimamizi mkuu wa kituo cha Imam Shatwiby cha Koran tukufu Dammam.

  • سواحيلي

    مُراجع, مؤلف, عدد العناصر : 194

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, مُراجع, عدد العناصر : 214

    Imamu na khatwibu wa Msikiti wa Mtume (s.a.w).

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 202

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 332

    Yeye ni Sheikh Muhammad bin Abdul-Wahhab bin Sulaiman A'ttamiymy, kazaliwa mwaka 1115هـ katika mji wa Uyaina Najdi katika Jazira ya kiarabu, ana vitabu vingi, na wameshuhudia juu yake wanachuoni kwa Elimu na Dini na Msimamo, na amefariki mwaka 1206 هـ Mwenyezi Mungu amrehemu akiwa na myaka 91

  • سواحيلي

    مُراجع, مؤلف, مترجم, عدد العناصر : 252

    Shekh Yunus Kanuni Ngenda: Ni mwanafunzi katika Chuo kikuu cha kiislamu cha Imamu Muhammad Bin Soud Nchini Saudi Arabia. Na ni mhakiki wa lugha ya kiswahili katika tovuti ya IslamHouse.com, pia ni Imamu na Khatwib Masjid Rahman, Mbezi Beach Dar Es Salaam Tanzania.