عرض المواد باللغة الأصلية

أعلام وشخصيات

عدد العناصر: 153

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 9

    Shekh Husseni Saidi Sembe: Ni mlinganiaji katika mkoa wa Kilimanjaro, na ni Imamu na Khatib katia Msikiti wa Answari Moshi Tanzania.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 10

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 11

    Shekh Nassor Abdallah Bachu: Alikua ni mlinganiaji maarufu nchini Tanzania, na alikua akitoa Darsa katika misikiti mbalimbali ndani na nje ya visiwa vya Zanzibar, pia alikua ni Imamu na Khatwib katika Msikiti wa Rahaleo Zanzibar mpaka anafariki dunia, Allah amsamehe na amrehem, Ameen!.-

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 11

    Abuu Khalifah Aly bin muhammad Al Qudhwayby,alikuwa katika itikida ya shia,akabadirika akawa katika itikadi sahihi ya sunna,shukurani zote niza Allah.

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 11

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 11

    -Shekh Nurdin Kishki: Ni mlinganiaji na ni Imamu na Khatib katika Msikiti wa Vetinari Temeke Dar es salaam Tanzania.

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 12

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 12

    Sheikh: Zaidi Bashiri ni mmoja katika walinganiaji wa kisunna mwenyeji wa Mombasa Kenya pia ni mwanafunzi wa Sheikh: Abdallah Al-farisi Mfasiri wa Qur’ani tukufu kwa lugha ya kiswahili, nimtowaji wa mawaidha kwanjia ya Ahlu sunna wal-jamaa.

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 24

    Imamu wa Msikiti Mkuu wa Makkah.

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 14

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 13

    Shekh Yusuf Abdi: Ni mlinganiaji kupitia chanel ya Tv Afrika na ni khatwib katika misikiti mbalimbali mjini Mombasa nchini Kenya.-

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 14

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 14

    Shekh Zuberi Athumani: Amemaliza masomo yake katika kitengo cha sheria katik Chuo kikuu cha kiislamu cha Imamu Muhammad Bin Soud Nchini Saudi Arabia. Na ni mlinganiaji maarufu nchini Burundi, pia ni khatwib katika Msikiti wa barabara ya saba Bujumbura Burundi.-

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 15

    Shekh Shamsi Ilmi: Ni mlinganiaji kupitia chaneli ya Tv Afrika na Redio Qiblatein Iringa, pia ni Katibu katika taasisi ya Dhinurayni nchini Tanzania.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 15

    Shekh Abdurahmani Muhina: Kasoma katika Chuo kikuu cha kiislamu cha Imamu Muhammad Bin Soud Nchini Saudi Arabia. Na ni mlinganiaji kupitia chanel ya Tv Imani na Tv Afrika.

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 16

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 16

    Imam wa Msikiti wa Marehemu Abdul Razak Qanbar Ansari - Mtaa wa Nakhil - Dammam

  • سواحيلي

    مصدر, عدد العناصر : 17

    Chama cha aal-na alashab Kuanzishwa kwake:ilianzishwa jumuiya ya aal-na alashab katika nchi ya ufalme wa Bahrain Uamuzi wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii No(32) mwa 2006 M. Muono wetu:Kuwapenda watu wa familia ya mtume na maswahaba zake nikatika kumpenda Mtume (Alayhi swalatu wassalam). Ujumbe wetu:Tunafanya jitihada za kusahihisha ufahamu potovu yanayo husiana na mafungamano ya familia ya mtume ilio twaharika na maswahaba zake watukufu. Malengo yetu:Nikusambaza urithi wa familia ya mtume ilio twaharika na maswahaba zake watukufu,kwa yale yanayo endana na cheochao cha juu kwa waislamu. Kuonyesha Mahusiano ya undugu baina ya familia ya mtume ilio twaharika na maswahaba zake watukufu,nakupandikiza apenzi ya kuipenda familiya ya mtume na maswahaba zake katika nafsi za waislam. Kudhihirisha majukumu ya familia ya mtume na maswahaba zake katika kuutumikia uislam,kutokana na kushikamana kwao na Quraan tukufu,na Sunna za mtume (swala Allahu alayhi wasalama) Kukuza mshikamano wa taifa kwa njia imani potofu zilizo wazi katika mawazo ya baadhi ya Waislamu kwasababu ya familia ya mtume na maswahaba zake watukufu. Katika Matoleo ya Jumuiya:Kuwalinda familia ya mtume na maswahaba zake watukufu. Ushindi wa Allah mwenye sifa ya kutoa bure katika kuzungumzia ubora wa familia ya mtume na maswahaba zake watukufu.-

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 115

  • سواحيلي

    مؤلف, مُراجع, عدد العناصر : 20