Haki za waislamu wao kwa wao
Maelezo
Kalazimisha Mwenyezi Mungu Mtukufu juu ya waja wake kumtii yeye, na akaharamisha kumuasi yeye, yeyote atakaemtii atafaulu duniani na akhera, na mwenye kumuasi amekula hasara duniani na akhera, na miongoni mwa mambo aliyo wajibisha Mwenyezi Mungu kwa waja wake: Haki za waislamu wao kwa wao, yeyote atakae zitekeleza kafaulu duniani na akhera, katika muhadhara huu kuna ubainifu wa haki hizi.
- 1
MP3 49.4 MB 2019-05-02
Vyanzo:
Utunzi wa kielimu:
Follow us: