- Classification Tree
- Qur-ani tukufu
- Sunna
- Islamic Creed
- Tauhidi
- Ibada
- Uislamu
- Imani
- Mambo ya Imani
- Ihsani (Wema)
- Ukafiri
- Unaafiki
- Shirki
- Uzushi
- Maswahaba na familia ya Mtume (s.a.w)
- Kumuomba Allah kwa kupitia kitu fulani
- The Concept of the Miraculous Acts Done by Some Righteous People
- Jini
- Loyalty and Friendship vs Disavowal and Enmity
- Ahlu-sunna wal-jamaa
- Doctrines and Religions
- Mapote
- Tofauti inayo nasibishwa na Uislamu
- Contemporary Ideological Doctrines
- Fiqhi
- Ibada
- Twahara
- Prayer
- Jeneza
- Zaka
- Swaumu
- Hijja na Umra
- Hukumu za Hutuba ya Ijumaa
- Sala ya Mgonjwa
- Sala ya Msafiri
- Swala ya Vitani
- Transactions
- Viapo na Nadhiri
- Familia
- Tiba ya kutumia dawa na Ruqya ya kisheria
- Vyakula na vinywaji
- Makosa ya jinai
- Judiciary System in Islam
- Jihadi
- Fiqh of Contemporary Issues
- Fiqhi ya sehemu ambayo waislamu ni wachache
- Siasa ya kisheria
- Madhehebu ya kifiqhi
- Fataawa
- Msingi wa Fiqhi
- Books on Islamic Jurisprudence
- Ibada
- Ubora
- Ubora wa Ibada
- Ubora wa Tabia
- Adabu mbali mbali
- General Islamic Etiquette
- Adabu za salamu
- Adabu za Barabarani na Sokoni
- Adabu za kula na kunywa
- Etiquette of Hospitality
- Etiquette of Visiting People
- Adabu za kutoa Chafya
- Etiquette of Market
- Etiquette of Yawning
- Adabu za kumtembelea Mtu na namna ya kubisha hodi
- Adabu za kuvaa mavazi
- Adabu za kumtembelea Mgonjwa
- Adabu za kulala na kuamka
- Ndoto
- Adabu ya Mazungumzo
- Adabu ya Safari
- Adabu ya Muskiti
- Adabu za Ndoto
- General Islamic Etiquette
- Dua mbali mbali
- Major Sins and Prohibitions
- Arabic Language
- Kulingania katika njia ya Mwenyezi Mungu
- Calling to Allah's Religion
- Issues That Muslims Need to Know
- Mawaidha yanayo vunja moyo
- Promotion of Virtue and Prevention of Vice
- Da’wa namna ilivyo kwa sasa
- The Importance of Calling to Allah
- History
- Islamic Culture
- Periodic Occasions
- Contemporary Life vs Muslims' Affairs
- Schools and Education
- Mass Media and Journalism
- Press and Scientific Conferences
- Communication and Internet
- Sciences from Muslims Perspective
- Islamic Systems
- Website Competitions
- Various Apps and Programs
- Links
- Administration
- Khutba za mimbar
- Academic lessons
- General Public of Muslims
- Books on Islamic Creed
- Elimu
- Islamic Knowledge Source Texts
- Source Texts of Quran's Interpretation
- Source Texts of Quran's Recitations and Reciting Rules
- Source Texts of Islamic Creed
- Source Texts of Prophetic Sunnah
- Source Texts of Arabic Grammar
- Source Texts of Fundamentals of Islamic Jurisprudence
- Source Texts of Islamic Jurisprudence
- Audio Books and Source Texts
- Seekers of Knowledge
- Seekers of Knowledge (Beginners)
- The Prophetic Biography
- Introducing Islam to Muslims
- Introducing Islam to non-Muslims
Audios
Idadi ya Vipengele: 248
- Kiswahili
- Kiswahili Mhadhiri : HAMZA RAJABU SEYFU Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Maana ya Aibu pila ameeleza kua Allah anazijua siri zetu, kisha ameeleza udhaifu wa mwanadamu na tabia za watu katika kusema aibu za wenzao, na tiba ya maradhi ya kutangaza aibu za watu.
- Kiswahili Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Shahidi Muhamad Zaid
Mada hii inaelezea nafasi ya nia katika ibada, ameeleza maana ya nia na mahala pake katika ibada na jinsi ya uweka nia katika ibada.
- Kiswahili Mhadhiri : Shahidi Muhamad Zaid Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Shahidi Muhamad Zaid
1. Mada hii inaelezea: Maana ya kusengenya (Umbeya) na kwamba ni katika madhambi makubwa, kisha amebainisha sifa za watu wenye umbeya, na kwamba nimtu washari, na ataadhibiwa katika kaburi lake. 2. Mada hii inaelezea hatuwa za kufanya katika kutibu maradhi ya Umbeya, na katika hatuwa hizo ni kuthibitisha habari unazo zipata, kisha akaeleza kuwa waganga wa kienyeji(Washirikina) na wachawi nikatika wanao ongoza kwa kusengenyaji(Umbeya).
- Kiswahili Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Shahidi Muhamad Zaid
Mada hii inazungumzia Maada ya pombe na hukumu ya kutumia na kuuza pombe, kisha amebainisha kuwa madawa ya kulevya ni katika yana hukumu ya pombe, na ameelezea madhara ya madawa ya kulevya kiafya kidini na kijamii na kwamba pombe ni mama wa Machafu.
- Kiswahili
1. Mada hii inazungumzia: Namna watu wa Maulidi walivyo waelewa vibaya wana chuoni na kuwasingizia uongo. 2. Mada hii inazungumzia: Maulidi ni Bidaa kwasababu Mtume s.a.w hakufanya, kwahiyo kuacha kufanya Maulidi ni Sunna na kufanya ni Bidaa. 3. Mada hii inazungumzia: Tofauti kati ya Bidaa na Sunna, pia imefafanua maana Sunnat Hasanah. 4. Mada hii inazungumzia: Ukweli aliouzungumza Sheikhul Islam Ibn Taymiyah kuhusu Maulidi, na uzushi anaozushiwa. 5. Mada hii inazungumzia: Ibn Taymiyah hajesema kuwa Maulidi inafaa kama wanavyodai Wazushi ( Watu wa Bidaa ). 6. Mada hii inazungumzia: Uharamu wa kusikiliza Samai za Masufi, na wala haifai kujifunza kupiga zomari.
- Kiswahili Mhadhiri : Qasim Mafuta Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
1. Mada hii inazungumzia: Kwa mujibu wa Uislamu pamoja na mahji ya Ahlu Sunna wal Jamaa, Kusherehekea Maulidi hayakuwepo na ni Uzushi. 2. Mada hii inazungumzia: Nini maana ya Bidaa ( Uzushi ) kilugha na kisheria, pia imeelezea hatari ya Uzushi. 3. Mada hii inazungumzia: Maulidi ni Bidaa dhwalaalah (Uzushi na upotovu), pia imeelezea namna wazushi wasivyo na hoja na wanafuata matamamnio ya nafsi zao. 4. Mada hii inazungumzia: Uzushi wa kusherehekea Maulidi umenzishwa mwanzoni mwa karne ya sita.
- Kiswahili Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Shahidi Muhamad Zaid
Mada hii inazungumzia sababu za kupata mali, miongoni mwa sababu hizo: Ni Uchamungu, na ukweli katika maneno na vitendo na katika niya yake, hiyo nisababu ya kutengamaa mambo yote.
- Kiswahili Mhadhiri : Shahidi Muhamad Zaid Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Shahidi Muhamad Zaid
1. Mada hii inazungumzia Umuhimu wa kuwa mchamungu na hasara za kukosa uchamungu kisha akaelezea kuwa Mwaka mpya nimwaka wa kuihesabu Nafsi. 2. Mada hii imezungumzia ufupi wa umri wa mwanadamu, nakwamba ameumbwa kutokana na masiku, kisha akabainisha kuwa katika kuihesabu nafsi nikujuwa mema aliyo yafanya, na kwamba kuikaguwa nafsi nikatika alama ya Uchamungu. 3. Mada hii inazungumzia miongoni mwa kuihesabu nafsi ni kuihesab nafsi na kujuwa chanzo cha uovu wake, na kwanini inapata uzito wa kuswali! Kisha amezungumzia umuhimu wa kujuwa uhalali na uharamu wa vyakula vyetu, na kwamba mtu asie swali nikafiri. 4. Mada inazungumzia Miongoni mwa kuihesabu nafsi nikutekeleza ibada ya swala, na familia yote, na kwamba swala ndio funguo za rizki, kisha ameeleza hali ya watu na swala zao pindi wanapo safiri zao, pia ameleza umuhimu wa kuhesabu mali ili kuzitolea zaka.
- Kiswahili Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa
1. Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa Uchamungu, na maana ya khutbatu Alhaja, kisha akabainisha swala ya khusufu na Malengo ya khusufu. 2. Mada hii inazungumzia: Fursa ya kuyafikiwa na masiku bora duniani, kisha ametaja miezi mitukufu, na akaeleza ubora wa masiku hayo, na ubora wa siku ya Arafa. 3. Mada hii inazungumzia: umuhimu wa kufunga siku ya arafa, na mambo anayo takiwa afanye katika masiku kumi ya mfungo tatu. 4. Mada hii inazungumzia:miongoni mwa matendo mema katika masiku kumi ya mfungo tatu, na amebainisha ubora wa kutowa salam, Kuunga udugu na kuwafanyia wema wazazi, na kuchunga haki za mume na mke.
- Kiswahili Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa
1. Mada hii inazungumzia ubora wa masiku kumi ya dhil hija kisha ameeleza kuwa Elimu ndio kibainisho cha halali na haramu na ndio sababu ya kumuabudu Allah kwa usahihi, na mtu asie kuwa na elimu ya dini anakuwa kama mfu. 2. Mada hii inakamilisha mada iliyo pita inaelezea msiba wa kuishi mwanamume na mwanamke bila kufunga ndoa, kisha ameeleza ubora wa kutafuta elimu.
- Kiswahili Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa
1. Mada hii inazungumzia khutba ya mkosi na sababu ya kuitwa hivyo pia amezungumzia vitisho vya siku ya Qiyama. 2. Mada hii inakamilisha mada iliyo pita imeelezea hali za watu wamotoni na vyakula vyao na nguo zao, pia mezungumzia maneno ya shetani atakayo zungumza motoni.
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Silsila ya mada za sauti za Tarjama ya Quran tukufu kwa lugha ya kiswahili inayo itwa "Al Muntakhab Fi Tafsir Al Qur’an" iliyo fanywa na Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani tafsiri hii inasifika kwa ufasaha wa lugha, masahafu huu umekusanya sauti ya msomaji wa Quraan, na sauti ya anaesoma tarjama ya kiswahili.
- Kiswahili Mhadhiri : Salim Barahiyan Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Namna uislamu ulivyo na hali mbaya kwa sasa kutokana na watu kuacha Sunna za Mtume (s.a.w), pia imefafanua maana ya kushahidilia ya kwamba Muhammad ni mjumbe wa Allah. Mada hii inazungumzia: Nini maana ya Utume, na kwamba Mitume wote (s.a.w) ni chaguo la Mwenyezi Mungu, pia imezungumzia historia fupi ya Mtume Muhammad (s.a.w). Mada hii inazungumzia: Misingi ya kushahidilia ya kwamba Muhammad ni Mjumbe wa Allah, na tofauti kati ya Mitume waliopita na Mtume Muhammad (s.a.w), pia imezungumzia itikadi mbovu waliyonayo Mashi’a. Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa mambo yanayovunja (shahada) kushahidilia ya kwamba Muhammad ni Mjumbe wa Allah, pia imezungumzia kwamba asiyemuamini Mtume Muhammad (s.a.w) ni kafiri na mafikio yake ni motoni. Mada hii inazungumzia: Wajibu wetu ni kumtii Mtume (s.a.w) na kumfuata, na imefafanua juu ya umuhimu wa kumtii Mtume (s.a.w) pia imezungumzia uzito wa Sunna za Mtume (s.a.w) na hasara za kwenda kinyume na Sunna zake. Mada hii inazungumzia: Kumfuata Mtume (s.a.w) ndio kuongoka, na kwamba kumpenda Allah kunafungamana na kumfuata Mtume (s.a.w), pia imezungumzia umuhimu wa kushikamana na Qur’an na Sunna, na hatari ya kufuata mazoea.
- Kiswahili Mhadhiri : Yusufu Abdi Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kuamini Qadari na kwamba kila kitu anapanga Allah, pia imezunguzia muislam anatakiwa kuishi na watu vizuri pamoja kutosheka na kichache anachopata.
- Kiswahili Mhadhiri : Abuu Musa Abubakari Musa Kiza Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
1- Mada hii inazungumzia: Sifa za Ghurabaa waliotajwa na Mtume (s.a.w), kwamba ni wale wanaotengeneza pindi watu wanapo haribu, pia imezunguzia Ghurabaa ni wale wanao shikamana na Manhaji ya Mtume (s.a.w). 2- Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa sifa za Ghurabaa ni kushikamana na Sunna na kuthibiti katika haki na kujiepusha na mambo ya batili, bid’a na uzushi, pia imezungumzia umuhimu wa kusoma na kuujua uislam.
- Kiswahili Mhadhiri : Abuu Hashim Abdulqaadir Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kuitekeleza nguzo ya Hajj, wanaopaswa kuitekeleza na namna ya kuitekeleza, pia imezungumzia miezi maalum ya Hajj kama ilivyotajwa katika Qur’an tukufu ambayo ni Shawwal, Dhul-Qaada na Dhul-Hijja
- Kiswahili Mhadhiri : Abuu Anasi Bwaluka Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
1- Mada hii inazungumzia: Nafasi ya vijana katika uislam, na neema ya ujana, na kila kijana ataulizwa siku ya qiyama, pia amezungumzia uwajibu wa vijana kuutumia ujana wao katika kufanya ibada, kama kusimamisha Swala, Funga na Hijja, ili kupata radhi za Allah. 2- Mada hii inazungumzia: Vijana ni hazina kubwa katika uislam tangu zamani, nakwamba vijana ndio wenye uwezo wa kuvumilia mashaka na misukosuko, pia imezungumzia umuhimu wa vijana kujipamba na tabia njema.
- Kiswahili Mhadhiri : Arafat Magmoud Kurejea : Yasini Twaha Hassani
1- Mada hii inazungumzia: Neema za nyumba na faidazake, nakwamba nyumba niukamilifu wa neema za Allah kwa waja wake, pia imezungumzia baadhi ya faida za nyumba kama vile makazi, stara, kulala, ibada ya swala na ibada ya ndoa. 2- Mada hii inazungumzia: Nyumba ni sehem ya kumstiri mwanamke na kumlinda na swala iliyo bora kwa mwanamke ni nyumbani, na wanawake wema ni wale wenye kutulia majumbani mwao, pia imezungumzia umuhimu wa kuwafundisha dini na adabu wake na watoto katika majumba. 3- Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kuwafundisha wanawake na watoto mambo ya Sunna na mavazi ya stara ili kuepuka masuuliya siku ya Qiyama, pia imezungumzia ubora wa kulazimiana na nyumba na kutenga muda kwa ajili ya kumtaja Allah ili kuepukana na fitna. 4- Mada hii inazungumzia: Nyumba ni nyenzo kubwa ya kujenga jamii ya kiislam na kutoa wanachuoni pamoja na wanawake wema, pia imezungumzia umuhimu wa mzazi kuwaombea dua ya kheri wanae.
- Kiswahili Mhadhiri : Qasim Mafuta Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
1- Mada hii inazungumzia: Zama za fitna na kwamba nilazima watu wachukue tahadhari, pia imezungumzia umuhimu wa kutafuta elim yenye manhji ya kufuata sunna za Mtume (s.a.w). 2- Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa muislam madhubuti katika imani yake, pia imezungumzia hatari ya kufuata au kufanya jambo bila ya elim, nakwamba nisababu ya kuingia katika fitna.