Utunzi wa kielimu

معلومات المواد باللغة العربية

Vitabu

Idadi ya Vipengele: 97

  • Kiswahili

    DOCX

    MASWALI SITINI KATIKA HUKUMU ZA HEDHI NA NIFASI

  • Kiswahili

    DUA

    PDF

    Mwandishi : Abdul Mohsen Al-Qasim

  • Kiswahili

    PDF

    Mwandishi : Abdul Mohsen Al-Qasim

    NGUZO ZA UISILAMU KUTOKA HOTUBA ZA AL-MASJID AN-NABAWI

  • Kiswahili

    PDF

    Mwandishi : Abdul Mohsen Al-Qasim

    TAWHIDI KATIKA HOTUBA ZA AL-MASJID AN-NABAWI

  • Kiswahili

    PDF

    Mwandishi : Abdul Mohsen Al-Qasim

    Ta'liimu al-qiraa-ati lilmubtadi-iina

  • Kiswahili

    PDF

    Muhutasari wenye faida kwa muislamu mpya.

  • Kiswahili

    PDF

    KUKIMBIA KUTOKA KATIKA UPAGANI KWENDA KATIKA UISLAMU.

  • Kiswahili

    PDF

    kitabu hiki cha Habari Kubwa – kiko tofauti na vitabu vingine vya miujiza ya Qurani – kwani kinajipambanua kwa mambo mengi, miongoni mwayo ni a)- Ufafanuzi mzuri, ibara nyepesi, na dibaji mzuri) b- Kitabu kipo katika umbo la kati na kati, hivyo msomaji hachoshwi wala hatakiona kuwa ni kirefu sana. c- Kinazungumza hasa na kizazi hiki. Kizazi ambacho kipo mbali mno na wema waliotangulia na wanazuoni waliopita. Mwandishi – Allah amrehemu – amedhihirisha maarifa ya kina kwa kutumia Qurani. Na uwezo mzuri sana wa kubainisha Miujiza kwa kutumia ibara nyepesi na kwa njia fupi.

  • Kiswahili

    DOCX

    Masuala kumi muhimu na mafupi kuhusu mwezi wa Muharram

  • Kiswahili

    PDF

    YALIYO CHAGULIWA KUTOKA KATIKA SOKO LENYE FAIDA KATIKA THAWABU ZA MATENDO MEMA.

  • Kiswahili

    PDF

    Tafsiri hii ya Qur’an Takatifu ambayo ni maarufu kwa jina la Tafsiri ya Ibn Kathir iliandikwa na AI-Hafidh Abu AI-Fida ‘Imad Ad-Din Ismail bin Umar bin Kathir AI-Quraishi Al-Busrawi (Aliyekufa Mwaka 744 H) ni tafsiri maarufu sana kati ya Tafsiri za Qur’an katika lugha ya Kiarabu, na Waislam wengi wanaiona kuwa ni yenye marejeo mazuri kwa mujibu wa Qur’an na Sunnah. Kazi hii ya .Kiarabu ina kurasa elfu tatu na mia mbili katika juzuu nne Darussalam ya Saudi Arabia walichagua jopo la Wanazuoni wa Kiislam kuandika muhtasari wa Tafsiri Ibn Kathir katika lugha ya asili ya Kiarabu. Sheikh Abu AI-Ashbal Ahmad Shaqif wa Rabitah AI-Alam AI-Islami, Makka, na Sheikh Safiur-Rahman Al-Mubarakfuri, Mkuu wa kamati ya Utafiti ya Darussalam waIifanya kazi na kikundi cha wanazuoni kwa takriban Miaka minne kufanikisha azma hiyo. Na Darussalam wakaja na toleo lililofupishwa katika lugha ya Kiarabu, kwa jina la Al-Misbah AI-Munir Fi- Tahdhib Tafsir Ibn Kathir. Tafsiri hii ya Kiswahili ni ya Kitabu hiki cha Kiarabu Al-Misbah AI-Munir Fi- Tahdhib Tafsir Ibn Kathir. .Fikra hii ilianza Mwaka 2005 na kutumia Miaka 17 takriban mpaka kukamilika Tarjama hii ni juhudi kubwa iliyoshirikisha Masheikh na wataalamu wetu wa fani mbalimbali za Dini ya Kiislamu na lugha zote husika. Katika kipindi cha miaka 17, Mradi huu wa Tarjama hii umepitia awamu mbalimbali, tutajitahidi kuzielezea hapa zile awamu muhimu tu na pia tutajitahidi kuwataja baadhi ya walioshiriki katika ,juhudi hii kwa njia moja au nyingine 1. Tarjama hii ya Kiswahili imehaririwa kwa kupitiwa mara tano na Ustadh Yassir Salim Awadh Masoud, Msimamizi Mkuu wa Mradi huu. 2. Tarjama hii ya Kiswahili kwa kulinganisha na Kiarabu imepitiwa mara moja kwa ukamilifu na mara ya pili kwa kupitia maeneo mengi kwa lengo la kuiboresha na kuifanyia uhakiki na Sheikh Seif Abubakar Ruga. 3. Katika kuipitia rasimu ya pili iliyohakikiwa, kwa lengo la kuiboresha na kuihakiki zaidi, ilibidi tuwashirikishe Wataalamu wetu wengine zaidi wa Dini ya Kiislamu. Kwa sababu tafsiri ina kurasa zaidi ya elfu saba (7000), si rahisi kazi hii ikafanywa na mtu mmoja wa enzi hizi, hivyo basi tukazigawanya sura na juzuu kwa kuwapa Masheikh kuzipitia na kuzihakiki kwa kulinganisha na Tarjama asili ya Kiarabu. Hivyo basi, baadhi ya Sura na juzuu zilipitiwa na Masheikh wafuatao, Al Marhum Sheikh Suleyman Amran Kilemile, Sheikh Muharram Juma Doga, Sheikh Seif Abubakar Ruga, Sheikh Khatib Mussa Giragiza, Sheikh Mohamed Ali Kibabu, Sheikh Ali Asaa, Sheikh Khamisi Liyenike, na Sheikh Said Bawazir. Na wengine wengi unaweza kurejea juzuu ya kwanza ya tafsiri hii.

  • Kiswahili

    PDF

    Vitabu Vya Kiswahili

  • Kiswahili

    PDF

    MUHAMMAD ALLAH AMREHEMA NI MTUME WA UISLAMU

  • Kiswahili

    PDF

    MISINGI YA IMANI

  • Kiswahili

    PDF

    Imamu Muhammad Bin Abdul Wahaab ulinganizi wake na Historia yake

  • Kiswahili

    PDF

    Kuchagua kutoka katika Historia ya Mtume Mteule

  • Kiswahili

    PDF

    Mambo Ya Msingi Ambayo Haitakikani Kwa Watoto Wa Kiislamu Kuto Yajua

  • Kiswahili

    PDF

    NYENZO ZA KUTHIBITI

  • Kiswahili

    PDF

    Huu ndio Uislamu

  • Kiswahili

    PDF

    UTARATIBU WA MUISLAMU

Ukurasa : 5 - Kutoka : 1