Uhatari Na Upotevu Wa Mashia
Maelezo
1- Mada hii inazungumzia: Uhatari na potofu la kishia, imezungumzia historia fupi ya Mtume (S.a.w) na Maswahaba wake (R.a)
2- Mada hii inazungumzia: Namna mayahudi wa Madina walivyoungana katika vita ya Ahzab, na makabila yaliyoritadi, inazungumzia pia historia ya Makhalifa waongofu kwa ufupi, na huo ndio mwanzo wa kupatatikana Mshia.
3- Mada hii inazungumzia: Chanzo cha fitina za myahudi Abdillahi Bin Sabaa, inazungumzia pia itikadi potofu za Mashia kwamba Qur’an ilibadilishwa.
4- Mada hii inazungumzia: Udanganyifu wa Mashia wa kutumia "taqiyya" inazungumzia pia uhalisia wa namna Qur’an ilivyo kusanywa na Othman Bin Afaan (R.a).
5- Mada hii inazungumzia: Namna Mashia wanavyojiweka karibu na waislamu ili waonekane ni waislam na hali siyo waislam, Mashia na Mayahudi ni sawa na wote ni maadui wa uislam.
6- Mada hii inazungumzia: Maswali na majibu ya darsa zima la uhatari na upotofu wa Mashia, ambapo swali la kwanza: ni vipi Abdillahi Bin Sabaa alishindwa kueneza fitina katika mji wa Madina?.
- 1
Uhatari Na Upotevu Wa Mashia 1
MP3 2.5 MB 2019-05-02
- 2
Uhatari Na Upotevu Wa Mashia 2
MP3 2.1 MB 2019-05-02
- 3
Uhatari Na Upotevu Wa Mashia 3
MP3 1.7 MB 2019-05-02
- 4
Uhatari Na Upotevu Wa Mashia 4
MP3 1.1 MB 2019-05-02
Utunzi wa kielimu: