Kubainisha Haki
Mhadhiri : Husseni Saidi Sembe
Kurejea: Abubakari Shabani Rukonkwa
Maelezo
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kusimama na kuitangaza haki, na kwamba kuibanisha haki ni wajibu kwa wenye elimu na ni sababu ya msingi katika kuihifadhi dini na hukumu zake, imezungumzia pia namna Mtume (s.a.w) alivyoibainisha haki
- 1
MP3 4.9 MB 2019-05-02
- 2
MP3 4.6 MB 2019-05-02
Utunzi wa kielimu: