Idadi ya Vipengele: 5
2 / 7 / 1435 , 2/5/2014
Mada hii imezungumzia kusimamisha dini na umuhimu wake na misingi ya kusimamisha dini na madhara ya kufarikiyana.
Mada hii imezungumzia matendo na madhara ya matendo mabaya na faida za kuwa na matendo mema.
25 / 12 / 1434 , 30/10/2013
Mada hii inazungumzia hukumu ya iddi ya kuchinja na hukumu zake na upotovu wa wanao funga siku ya iddi.
24 / 12 / 1434 , 29/10/2013
Mada hii inazungumzia vitisho vya siku ya qiyama na atakae kuwa nishahidi wa ummati muhamad siku ya qiyama,na sababu ya kuchaguliwa mtume kuwa shahidi wa umati muhammadi.
22 / 12 / 1434 , 27/10/2013
Mada hii inazungumzia adabu za kuupokea mwezi wa ramadhani,na ukumbusho kwa wanadamu kughafilika na shetane,na hatari ya wafwasi washetan.