Mada hii inazungumzia: Adabu za safari katika uislamu, pia imezungumzia umuhimu wa kuheshimu vipando na kuwahurumia wanyama tunaowatumia katika kubeba mizigo.
Khutba hii inazungumzia khasara tatu za muislam,na utukufu wa makkah na madina na maeneo yenye historiya katika mji mituku wa maka na madina na mazingatio katika sehemu hizo.