معلومات المواد باللغة العربية

Swalehe Ibrahim - Audios

Idadi ya Vipengele: 9

  • Kiswahili

    Mada hii inazungumzia:kuwa na adabu na Allah kazungumzia maana ya adabu na cheo cha Adabu, pia kazungumzia hatuwa za kuwa na adabu na Allah, na sifa za mwenye adabu, na jinsi ya kuwa na adabu na Allah.

  • Kiswahili

    Mhadhiri : Swalehe Ibrahim Kurejea : Yasini Twaha Hassani

    1- Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa sababu zinazo pelekea nyoyo za watu kuwa ngumu, ni watu kuzama ktika maasi kama vile uzinifu, ulevi, kutembea uchi na kuchanganyika wanaume na wanawake, pia imezungumzia sababu za bani Israil kuwa na nyoyo ngumu na kulaaniwa. 2- Mada hii inazungumzia: Waumini wa kweli kwamba ni wale ambao wanaposikia Aya za Allah nyoyo na ngozi zao zina sisimka, pia imeelezea umuhimu wa kusikiliza maneno ya Allah na kuyazingatia

  • Kiswahili

    1- Mada hii inazungumzia: makatazo ya kuudhiana waislam na kwamba wanao muudhi Allah na Mtume wake (s.a.w) wana laana kubwa, pia imezungumzia aina mbili za maudhi ambayo ni maudhi ya maneno na vitendo. 2- Mada hii inazungumzia: Hatari ya madhambi na maudhi ya kusengenya na kwamba hao ndio wanaokula nyama za watu, pia imezungumzia maudhi ya vitendo kama vile kumuudhi jirani kwa kutumia vyombo vya kileo na kutia uchafu katika katika njia.

  • Kiswahili

    Mhadhiri : Swalehe Ibrahim Kurejea : Yasini Twaha Hassani

    1- Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa alama za Qiyama ni pindi itakapo potea amana na atakapo pewa majukum mtu asiyefaa basi subirini Qiyama, pia imezungumzia umuhimu wa kuchagua viongozi wanao faa 2- Makala hii inazungumzia: Madhara ya kutegemeza majambo kwa wanawake na watu wajinga wasio na elimu basi umauti ni bora kuliko kuishi, pia imeelezea hatari za ubakhili.

  • Kiswahili

    Mhadhiri : Swalehe Ibrahim Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda

    1- Mada hii inazungumzia: Hatari ya kukufuru neema na namna Mwnyezi Mungu alivyo angamiza baadhi ya watu baada ya kukufuru neema za Allah, pia imezungumzia jinsi Mwenyezi Mungu alivyotimiza neema zake juu ya waja wake, neema zilizo wazi na neema zilizo fichika 2- Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa neema kubwa ni neema ya Uislam na neema ya kuletwa Mtume Muhammad s.a.w, pia imezungumzia, hatari ya kumuasi Allah ni sababu ya kukosekana kwa Amani, na rizki na kuanguka Uchumi

  • Kiswahili

    Mada hii inazungumzia: Namna za kuhama katika uislam, kabainisha maana ya kuhama sifa za maswahaba wa Madina na wale walio hama kutoka Makkah kwenda madina,na sababu ya kuhama.

  • Kiswahili

    Mada hii inazungumzia: mambo matatu yanayo mfuata maiti baada yakufa ikiwemo watu wake na mali yake na matendo yake, vyote vitarudi ila matendo yake, hakika matendo mazuri ndio rafiki yako kaburini.

  • Kiswahili

    Mada hii inazungumzia: Kufaulu kukubwa na maana yake, na aina za kufaulu, na kufaulu duniani na Akhera, na mambo yanayo ufanya uwe miongoni mwa walio faulu.

  • Kiswahili

    Khutba hii inazungumzia miezi mitukufu na cheo chake na utukufu wake katika uislam.

Ukurasa : 1 - Kutoka : 1