Idadi ya Vipengele: 252
21 / 2 / 1436 , 14/12/2014
Mada hii nazungumzia umuhimu wa kufanya ibada na mambo mema katika muda wote wa uhai
Mada hii inaelezea umuhimu wa ndoa.
20 / 2 / 1436 , 13/12/2014
Mada hii inazunguzia maradhi ya moyo, na katika maradhi makubwa ya moyo ni dhana mbaya.
Mada hii inazunguzia adabu za mchezo na mzaha, na vipi Maswahaba walifanya michezo na mizaha.
Mada hii inazunguzia adabu na umuhimu wa salam katika uislam
Mada hii inazungumzia umuhim wa kutafuta rafiki mwema
Mada hii inazungumzia namna ya kujikinga na kila balaa na ubaya.
Mada hii inazunguzia adabu na dua ya kula
Mada hii inazungumzia na kufafanua uzushi unaofanywa na baadhi ya watu katika mwezi wa Shaabani.
18 / 2 / 1436 , 11/12/2014
• Mada hii inazungumzia maisha ya mwanadamu baada ya kuumbwa na mtu wakwanza kufa. • Mada hii inazunguzia mambo ambayo yatamkuta mtu kabla ya kufa. • Mada hii inazunguzia mambo ambayo yatamkuta mtu baada ya kutolewa roho.
Mada hii inazunguzia mwanamke bora ni Yule mwenye kuimarisha ndoa yake kwa kutekeleza haki za mumewe.
Mada hii inazunguzia ubora wa Mama kwa mwanae, katika jamii na hata mbele ya Allah (S.w)