Islamhouse.com

  • Android
  • iOS
  • Windows
  • API
  • HTML
  • QuranEnc.com
  • HadeethEnc.com
Aina
    • Home
    • Lugha zote
    • Utunzi wa kielimu
    • Kujua kuhusu Uislamu
    • Makala zote
      • Makala zote
      • Vitabu
      • Makala
      • Fataawa
      • Video
      • Audios
      • Khotab
      • Kuzipendezesha
      • Mwenye kupendekezwa
    • Ingia katika uislam sasa
    • Maeneo yetu
    • Zaidi
      • Takwimu
      • Vyanzo
      • Windows version
      • Android version
      • iPhone version
      • QuranEnc.com
      • HadeethEnc.com
    SWKiswahili
    معلومات المواد باللغة العربية

    Ofisi ya da’awah na kuhamasisha jamii ilipo Rabuwa Riyadh - Makala zote

    Idadi ya Vipengele: 68

    1. Nyumbani
    2. Lugha ya maonyesho : Kiswahili
    3. Takwimu
    4. Ofisi ya da’awah na kuhamasisha jamii ilipo Rabuwa Riyadh
    5. Makala zote
    • Makala zote
      • Makala zote
      • Vitabu
      • Makala
      • Fataawa
      • Mwenye kupendekezwa
    • Kiswahili
      • Lugha zote
      • Afar
      • Akani
      • Albanian
      • Amharic
      • Armenian
      • Bengali
      • Bosnian
      • Bulgarian
      • Burmese
      • China
      • Circassian
      • Czech
      • German
      • Gojaratne
      • Hausa
      • Hungarian
      • Indonesian
      • Italian
      • Kannada
      • Kazakh
      • Kenya Rwanda
      • Kiajemi Dre
      • Kiarabu
      • Kiassam
      • Kifaransa
      • Kifilipino(marnawi)
      • Kifilpino(tagalogo)
      • Kifula
      • Kifurusi
      • Kiganda
      • Kihindi
      • Kiholanzi
      • Kijapani
      • Kijiojia
      • Kinepali
      • Kingereza
      • Kireno
      • Kiswahili
      • Kitigrinya
      • Kituruki
      • Kivetinam
      • Korean
      • Kurdish
      • Kyrgyz
      • Lithuanian
      • Macedonian
      • Madagascar
      • Malayalam
      • Maldivi
      • Mlagashi
      • Mori
      • N'ko
      • Oromo
      • Pashto
      • RUSIA
      • Romanian
      • Sango
      • Serbian
      • Sindhi
      • Sinhalese
      • Somalia
      • Spanish
      • Tajik
      • Tamil
      • Tatar
      • Terugu
      • Thai
      • Turkmani
      • Ukrainian
      • Urdu
      • Uyghur
      • Uzbek
      • Wolof
      • Yoruba
      • Yoruba
      • filipino Mguenha
    • Kiswahili

      Mkusanyiko wa Hadithi za Mtume zilizofanyiwa Tarjama

      15 / 5 / 1443 , 20/12/2021

      Mradi huu unalenga uwezeshaji wa kupatikana Uchambuzi wa kina na Tarjama zikizo wazi za Hadithi za Mtume zilizo sahihi https://hadeethenc.com/app/#/list-categories?lang=sw

    • Kiswahili

      Kuutembelea Msikiti Ntukufu Wa Mtume Na Baadhi Ya Tanbihi Na Muongozo Kwa Mwenye Kuutembelea

      1 / 3 / 1442 , 18/10/2020

      Mwandishi : Dr. Abdallah Bin Najiy Al Mikhlafy

      Kuutembelea Msikiti Ntukufu Wa Mtume Na Baadhi Ya Tanbihi Na Muongozo Kwa Mwenye Kuutembelea

    • Kiswahili

      UBORA WA KUAMRISHANA MEMA NA KUKATAZANA MAOVU.

      29 / 10 / 1436 , 15/8/2015

      Mwandishi : Yunus Kanuni Ngenda Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa Msambazaji : Ofisi ya da’awah na kuhamasisha jamii ilipo Rabuwa Riyadh

      Mada hii inazungumzia: Ubora wa kuamrishana mema na kukatazana maovu pia imezungumzia hatuwa za kukemea maovu katika uislam, pia amezungumzia sababu ya ummat Muhamad kuwa niuma bora.

    • Kiswahili

      HII NDIYO ITIKADI YETU

      15 / 6 / 1436 , 5/4/2015

      Mwandishi : Shaykh Muhammad ibn Swaleh Al-Uthaymeen Tafsiri : Yasini Twaha Hassani Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda

      Kitabu hiki kinazungumzia: Itikadi sahihi ya muislam, kinazungumzia pia imani ya kweli ni kumuamini Allah na Malaika wake na Vitabu vyake na Mitume wake, na matunda yake, na malipo ya wenye kumpwekesha Mweyezi Mungu.

    • Kiswahili

      BID’A YA MAWLIDI MAANA BID’AA NA UBAINISHO WA AINA ZAKE NA HUKUMU YAKE.

      28 / 3 / 1436 , 19/1/2015

      Mwandishi : Yunus Kanuni Ngenda Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa Msambazaji : Ofisi ya da’awah na kuhamasisha jamii ilipo Rabuwa Riyadh

      Mada hii inazunguzia Maana ya Bidaa na aina zake

    • Kiswahili

      CHANZO CHA KUDHIHIRIKA KWA BIDAA NA SABABU ZA KUDHIRI KWAKE

      26 / 3 / 1436 , 17/1/2015

      Mwandishi : Yunus Kanuni Ngenda Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa Msambazaji : Ofisi ya da’awah na kuhamasisha jamii ilipo Rabuwa Riyadh

      Mada hii inazungumzia chanzo cha bidaa na sababu zake,na madhara za kuzusha katika dini.

    • Kiswahili

      KUWATENDEA WEMA WAZAZI WAWILI

      18 / 2 / 1436 , 11/12/2014

      Mwandishi : Yasini Twaha Hassani Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda

      Mada hii inazunguzia umuhim na ulazima wa kuwatendea wema wazazi wawili.

    • Kiswahili

      TABIA NJEMA

      18 / 2 / 1436 , 11/12/2014

      Mwandishi : Abdulmaliki Al Qasim Tafsiri : Yasini Twaha Hassani

      Mada hii inazunguzia mwenye tabia njema hupandishwa daraja, na tabia njema ndio lilikua pambo la Mitume, Manabii na watu wema.

    • Kiswahili

      Qur'ani Tukufu ni nini?

      24 / 1 / 1445 , 11/8/2023

      Msambazaji : Ofisi ya da’awah na kuhamasisha jamii ilipo Rabuwa Riyadh

      Qur'ani Tukufu ni nini?

    • Kiswahili

      Vitabu vilivyochaguliwa na Wavuti kwa lugha ya Kiswahili

      14 / 8 / 1441 , 8/4/2020

      Vitabu vilivyochaguliwa na Wavuti kwa lugha ya Kiswahili

    • Kiswahili

      Ndugu Yangu Kwa Mfano Wa Siku Hii Ya Qiyama Fanya Mema

      21 / 5 / 1437 , 1/3/2016

      Tafsiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda Msambazaji : Ofisi ya da’awah na kuhamasisha jamii ilipo Rabuwa Riyadh

      Kitabu hiki kinazungumzia: Umuhimu wa kujiandaa kutokana na siku ya Qiyama, pia imeelezea kuhusu umauti, mambo ya kaburini na siku ya kufufuliwa.

    • Kiswahili

      Jambo la kwanza kwa Mja

      21 / 2 / 1437 , 4/12/2015

      Mufti : Shaykh Muhammad ibn Swaleh Al-Uthaymeen Tafsiri : Yasini Twaha Hassani Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda Msambazaji : Ofisi ya da’awah na kuhamasisha jamii ilipo Rabuwa Riyadh

      Jambo la kwanza kwa Mja

    • Kiswahili

      Lengo la kuumbwa Mwanadamu

      21 / 2 / 1437 , 4/12/2015

      Mufti : Shaykh Muhammad ibn Swaleh Al-Uthaymeen Tafsiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda Msambazaji : Ofisi ya da’awah na kuhamasisha jamii ilipo Rabuwa Riyadh

      Mada hii ni fatwa ambayo nimaswali aliyo yajibu Shaykh Muhammad ibn Saalih al-’Uthaymeen (Allah amrehemu) na swali nihili: Binadamu ameumbwa kwa malengo gani?.

    • Kiswahili

      Masharti nane ya hijabu

      19 / 12 / 1436 , 3/10/2015

      Mwandishi : Yunus Kanuni Ngenda Kurejea : Yasini Twaha Hassani Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa Msambazaji : Ofisi ya da’awah na kuhamasisha jamii ilipo Rabuwa Riyadh

      Mada hii inazungumzia: masharti nane ya hijabu ya mwanamke wa kiislam, pia imezungumzia dalili katika Quraan na sunna juu ya hijabu ya mwanamke na uwajibu wa mwanamke kukaa nyumbani.

    • Kiswahili

      Matendo mema katika siku kumi za Dhulhija.

      8 / 12 / 1436 , 22/9/2015

      Mwandishi : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Yasini Twaha Hassani Msambazaji : Ofisi ya da’awah na kuhamasisha jamii ilipo Rabuwa Riyadh

      Mada hii inazungumzia: Matendo mema katika siku kumi za Dhulhija imezungumzia ubora wa masiku kumi ya Dhulhija, na ubora wa matendo mema katika masiku hayo, pia imezungumzia sifa za takbira na aina zake.

    • Kiswahili

      MASIKU KUMI BORA KATIKA MWEZI WA DHUL-HIJJA

      1 / 12 / 1436 , 15/9/2015

      Mwandishi : Muhammad Ibrahim Al-Sabri Tafsiri : Yasini Twaha Hassani Tafsiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda Msambazaji : Ofisi ya da’awah na kuhamasisha jamii ilipo Rabuwa Riyadh

      Kitabu hiki kinazungumzia masiku kumi bora ya Dhul-Hijja, na matendo yanayo pasa kufanya katika masiku hayo, kisha ameelezea swaumu, na ubora wa takbira, na kujikaribisha kwa Allah, kisha kimezungumzia siku ya Arafa, na namna ya kuhiji na kufanya Umra.

    • Kiswahili

      NI UPI USIKU WA LAYLATUL QADR ?

      1 / 11 / 1436 , 16/8/2015

      Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa

      Makala hii inazungumzia: Umuhimu wa Laylatul qadr na kwamba ni usiku wa cheo na fadhila nyingi sana kwa mwenye kufanya ibada, pia imezungumzia kua Laylatul qadr ni bora kuliko miezi elfu ambayo ni sawa na miaka themanini na tatu.

    • Kiswahili

      FADHILA ZA KULA DAKU

      29 / 10 / 1436 , 15/8/2015

      Mwandishi : Saleh bin Fawzan Al-Fawzan Tafsiri : Yasini Twaha Hassani Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda

      Makala hii inazungumzia: Fadhila za kula daku na kwamba Allah pamoja na Malaika humtakia rehma mtu mwenye kula daku, pia imezungumzia ubora wa kuchelewesha kula daku.

    • Kiswahili

      UKUMBUSHO KWA WAFUNGAJI

      29 / 10 / 1436 , 15/8/2015

      Mwandishi : Yasini Twaha Hassani Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda

      Kitabu hiki kinazungumzia: Umuhimu na ubora na uzito wa funga ya mwezi wa Ramadhan kwa mujibu wa Aya na Hadithi za Mtume wetu Muhammad (s.a.w) pia kimezungumzia juu ya mambo yanayo tengua swaumu.

    • Kiswahili

      FUNGA YA RAMADHANI

      29 / 10 / 1436 , 15/8/2015

      Mwandishi : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda Msambazaji : Ofisi ya da’awah na kuhamasisha jamii ilipo Rabuwa Riyadh

      Makala hii inazungumzia: Mambo mbalimbali yanayohusu mwezi mtukufu wa Ramadhan, ikiwa ni pamoja na maana ya Swaumu, historia ya funga ya Ramadhan, na ubora wa swaumu na fadhila zake.

    Ukurasa : 4 - Kutoka : 2
    • Mwanzo
    • «
    • 1
    • 2
    • 3
    • 4
    • »

    Mafungamano muhimu

    • IslamHouse Reader
    • What Muslim Children Must Know
    • Tafsir Saadi
    • Riyadh Al-Salheen
    • Wasiliana nasi

    Tufuatilie kupitia

    Au jiunge na orodha yetu ya E-mail

    © Tovuti ya IslamHouse.com

    Kuchagua kuvinjari lugha

      Tufuatilie kupitia

        Au jiunge na orodha yetu ya E-mail