NAMNA YA SWALA YA MTUME (REHEMA NA AMANI ZIWE JUU YAKE)

Mwandishi : Abdul Aziz bin Abdullah bin Baaz

Msambazaji:

Maelezo

Mheshimiwa, Sheikh, Abdulaziz bin Baaz - Mwenyezi Mungu amrehemu - ameeleza ndani ya kitabu cha "Namna ya Swala ya Mtume, rehema na amani ziwe juu yake", kwa ufupi namna ya swala ya Mtume, rehema na amani ziwe juu yake, kwa mbinu rahisi na njia nzuri kabisa, huku akitegemea ushahidi wa kimaandiko yaliyo sahihi; ili kiwe muongozo kwa Muislamu katika swala yake. Alibainisha ndani yake nguzo za swala na sunna zake na namna yake, kuanzia wudhu mpaka kutoa salamu ya kumaliza swala, akikusanya ndani yake kati ya ushahidi na upambanuzi, akilingania watu kumuiga kikamilifu Mtume, rehema na amani ziwe juu yake katika ibada hii kubwa zaidi.

Download
Tuma maoni kuhusu ukurasa huu kwa msimamizi

Utunzi wa kielimu: