Maelezo
Kitabu hiki chazungumzia: Maana ya Uislamu kwa ufupi, na kwamba ndio dini sahihi Mungu hakubali tofauti na Uislamu, na kuelezea dini nyingine na vyanzo vyake na ubatilifu wake, Uhakika wa Nabii Issa na Mama yake (s.a.w), Uislamu ni dini ya Ulimwengu mzima na hikima ya kuumbwa Majini na Binaadamu.
Tuma maoni kuhusu ukurasa huu kwa msimamizi
- 1
PDF 158.6 KB
Follow us: