- Classification Tree
- Qur-ani tukufu
- Sunna
- Islamic Creed
- Tauhidi
- Ibada
- Shirki
- Ukafiri
- Unaafiki
- Uislamu
- Mambo ya Imani
- Imani
- Ihsani (Wema)
- Uzushi
- Maswahaba na familia ya Mtume (s.a.w)
- The Concept of the Miraculous Acts Done by Some Righteous People
- Sorcery and Magic
- Jini
- Loyalty and Friendship vs Disavowal and Enmity
- Ahlu-sunna wal-jamaa
- Doctrines and Religions
- Mapote
- Tofauti inayo nasibishwa na Uislamu
- Contemporary Ideological Doctrines
- Reform Movements
- Books on Islamic Creed
- Fiqhi
- Ibada
- Twahara
- Prayer
- Hukumu ya Swala
- Adhana na Iqama
- Nyakati za Swala Tano
- Masharti ya Swala
- Nguzo za Swala
- Yalio wajibu katika Swala
- Sunna za Swala
- Sifa ya Swala
- Nyiradi za Baada ya Swala Tano
- Yanayo Batilisha Swala
- Swala ya jamaa
- Sijida ya Kusahau
- Prostration of Recitation
- Prostration of Gratitude
- masharti ya Uimamu
- Swala za watu wenye udhuru mbali mbali
- Friday Prayer
- Supererogatory Prayers
- Jeneza
- Zaka
- Swaumu
- Hijja na Umra
- Hukumu ya Muskiti wa Makkah
- Mipaka
- Kuhirimia
- Namna za Ibada
- Sifa ya Umra
- Sifa ya Hijja
- Deputizing in Pilgrimage
- Disability or Falling Short of Completing Pilgrimage
- Hukumu ya Muskiti wa Mtume (Rehma na Amani za Allah ziwe juu yake)
- Wanyama wanao chinjwa katika Udhuhiya
- Kuchinja kwenye idi kubwa
- What after Pilgrimage?
- Transactions
- Viapo na Nadhiri
- Familia
- Tiba ya kutumia dawa na Ruqya ya kisheria
- Vyakula na vinywaji
- Makosa ya jinai
- Hududi
- Judiciary System in Islam
- Jihadi
- Fiqh of Contemporary Issues
- Fiqhi ya sehemu ambayo waislamu ni wachache
- Matters of New Muslim
- Siasa ya kisheria
- Madhehebu ya kifiqhi
- Fataawa
- Msingi wa Fiqhi
- Books on Islamic Jurisprudence
- Ibada
- Ubora
- Elimu
- Ikhlas
- Ubora wa Ibada
- Ubora wa Tabia
- Ubora wa kuunga udugu na kuwafanyia wema wazazi
- Fadhila ya Koran Tukufu
- Ubora wa maswahaba
- Adabu mbali mbali
- Adabu ya Mazungumzo
- Adabu ya Safari
- Adabu za kumtembelea Mgonjwa
- Adabu za kuvaa mavazi
- Adabu ya Muskiti
- Adabu za kumtembelea Mtu na namna ya kubisha hodi
- Etiquette of Yawning
- Etiquette of Visiting People
- Etiquette of Market
- Etiquette of Hospitality
- Adabu za Barabarani na Sokoni
- Adabu za kula na kunywa
- Adabu za kutoa Chafya
- Adabu za kulala na kuamka
- Adabu za salamu
- Adabu za Ndoto
- Mawaidha yanayo vunja moyo
- Dua mbali mbali
- Kulingania katika njia ya Mwenyezi Mungu
- Calling to Allah's Religion
- Introducing Islam
- Mahitaji ya binadamu kuhusu Uislamu
- Mazuri ya Uislamu
- Moderation vs Terrorism in Islam
- Nguzo ya Dini ya Kiislamu
- Haki za binadamu katika sheria za kiislamu
- Haki za Wanyama katika Uislamu
- Kuwalingania wasiokua Waislamu
- Promotion of Virtue and Prevention of Vice
- How to Embrace Islam
- Why They Embraced Islam? (New Muslims' Stories)
- Utata kuhusu Uislamu
- Fair Testimonies about Islam
- Mwenendo wa madai
- Da’wa namna ilivyo kwa sasa
- Voluntary Deeds
- Issues That Muslims Need to Know
- Calling to Allah's Religion
- Arabic Language
- Islamic Culture
- Periodic Occasions
- Contemporary Life vs Muslims' Affairs
- Schools and Education
- Mass Media and Journalism
- Press and Scientific Conferences
- Communication and Internet
- Islamic Civilization
- Orientalism and Orientalists
- Sciences from Muslims Perspective
- Islamic Systems
- Website Competitions
- Various Apps and Programs
- Links
- Administration
- Curriculums
- Khutba za mimbar
Haki za binadamu katika sheria za kiislamu
Kubainisha Haki za binadamu katika sheria za kiislamu, na msimamo wa uislamu kuhusu ugaidi, kwa lugha za kidunia zaidi ya (35).
Idadi ya Vipengele: 58
- Nyumbani
- Lugha ya maonyesho : Kiswahili
- Lugha ya maudhui : Lugha zote
- Haki za binadamu katika sheria za kiislamu
- Kiarabu Mhadhiri : Said Ali ibn Wahf AI-Qahtaani
Uharamu wa kumwaga damu isiyo kuwa na hatia: Muhadhara ulio tolewa Abha 1-8-1433هـ kazungumzia sheikh uharamu wa kumwaga damu bila ya hatia na kuchukua mali zao katika waislamu...
- Kiarabu Mwandishi : Saud bin Ibrahim Al-Shuraim
Mafhumu ya huria katika uislamu: Katoa khutba ya ijumaa sheikh Suudi shurem -Allah amuhifadhi- katika muskiti wa makkah tarehe 2-11-1432, kazungumzia Mafhumu ya huria katika uislamu, na kabainisha ufahamu ulio sahihi na kuwahadharisha na ufahamu wa kimakosa kutokana na neno hili, na kabainisha ya kwamba uislamu ndio ulio dhamini uhuru kwa kushikamana na maamrisho ya Mwenyezi Mungu na mtume wake (s.a.w).
- Kiarabu
Uharamu wa kumwaga damu ya Muislamu: Katoa khutba ya ijumaa sheikh Swaleh bin Muhammad Ali-twalib Allah amuhifadhi katika muskiti wa makkah tarehe 17-02-1432, kazungumzia uharamu wa kumwaga damu ya Muislamu, akataja dalili katika Qurani na sunna, akaelezea kujiripua na adhabu zake siku ya qiyama, akawatahadharisha vijana wa kiislamu kumwaga damu za waislamu au wasio kuwa waislamu bila ya haki.
- Bengali
Uislamu na haki za kibinadamu kwa ujumla: Inazungumzia makala hii kuhusu haki za binadamu na chimbuko lake na tofauti zake katika kila umma, na kwamba kila umma ulikuwa na upungufu katika hili isipokuwa katika uislamu peke, ndio ulio kamilika kuhusu haki za binadamu, na akili inakubaliana na hayo...
- Bengali common_publisher : Ofisi ya da’awah na kuhamasisha jamii ilipo Rabuwa Riyadh
Amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu: (Hakika mbora wenu mbele ya Mwenyezi Mungu ni mcha Mungu hakika Mwenyezi Mungu ni mjizinMwenye habari), Hakuna mbora wa yeyote juu ya mwengine isipokuwa kwa kumcha Mwenyezi Mungu. na makala hii inaelezea mada hii kwa ufupi.
- Kiswahili Mhadhiri : Shamsi Ilmi Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
• Mada hii inazungumzia: Haki za binadamu katika uislam amezungumzia maana ya haki na umuhimu wa kujuwa haki za binadamu na ulazima wa kuzilinda, pia ametaja haki tano katika Quraan kwa ujumla. • Mda hii inazungumzia: maana ya binadamu na maana ya uislam, na ametaja mafundisho ya uislam kuhusu haki za binadamu. • Amezungumza kuwa uislam ndio wakwanza kufundisha haki za binadam, Haki ya kwanza (Haki ya kuishi). • Mada hii inazungumzia: Uharam wa kujiua na niharam kutumia kitu ambacho kitamsababishia kifo, kama kuvuta sigara na pombe nk, pia amezungumzia haki ya pili (Kulinda mali za watu) na uharam wa kudhulumiana. • Mada hii inazungumzia: Uharam wa kudhulumiana na chanzo chake, pia amezungumzia uharam wa kula riba na njama za nchi zilizo endelea katika kula riba, pia kazungumzia uharam wa kula rushwa, na dhulma nimaradhi yanayo ambukiza. • Mada hii inazungumzia: Haki za binadamu ikiwemo mwanamke kuheshimiwa utu wake, amebainisha hali ya mwanamke kabla ya uislam, na jinsi uislam ulivyo linda heshima ya mwanamke, kabainisha jinsi mwanamke anavyo dhalilisha mwanamke katika karne ya 21. • Mada hii inazungumzia: Haki za binadamu ikiwemo haki ya kuabudu, na amebainisha kuwa hakuna kulazimishana, kasha akataja hali ya ulinganiaji wakati wa mtume na uongo wa wale wanao sema uislam ulienezwa kwa upanga, bali uislam uliingia kwa hoja zenye nguvu. • Mada hii inazungumzia: Haki za binadamu nayo nihaki ya mwanadamu kuwa huru, na msingi wa uhuru wa binadamu, ambayo inatolewa katika maneno ya Omar bin Khatwabi (r.a).
- Serbian
- Kihindi
- Spanish
- Kifurusi
- Kifaransa
- Kireno
- Spanish
- Kingereza
- Kingereza
- German
- Spanish
- Kiholanzi Mwandishi : Abdul Rahman bin Abdul Karim Sheihah
Haki za binadamu katika uislamu: Katika bahthi hii kuna ubainifu wa kweli kuhusu Haki za binadamu kama inavyo zungumzwa zama hizi, pamoja na kuweka wazi alama zake, na maana zake, na faida zake, katika vipimo vya Uislamu.
- Yoruba
- Yoruba
Follow us: