Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 03

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 03

Maelezo

Mada hii inazungumzia: Maana ya suna, na umuhimu wake na daraja zake, na kwamba Sunna zimegawanyika namna tofauti katika maamrisho na makatazo, pia imezungumzia hatari ya dhambi ya kusengenya na kugombanisha watu.

Download
Tuma maoni kuhusu ukurasa huu kwa msimamizi