Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 17

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 17

Maelezo

Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) juu ya kumtembelea mgonjwa ametaja ubora wa mkutembelea mgonjwa, ikiwemo Malaika elfu sabini wanamuombea dua, na kuzungukwa na rehma, pia imefafanua maana ya malaika kumswalia.

Download
Tuma maoni kuhusu ukurasa huu kwa msimamizi