Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 22

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 22

Maelezo

Mada hii inazungumzia: Miongoni wa sababu za mtu kuokoka na Moto wa Jahanam, pia imezungumzia umuhimu wa kutoa kilicho bora kwa ajili ya Allah na hatari ya ubakhili na imeelezea kwa ufupi kisa cha watoto wa Nabii Adam (a.s) Qabili na Habili.

Download
Tuma maoni kuhusu ukurasa huu kwa msimamizi