Utamu wa ndoa 06
Maelezo
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa utamu wa ndoa ni mwanamke kujipamba na tabasam pamoja na kumkumbusha mumewe mara kwa mara katika kutafuta rizki ya halali, na ayafanye hayo kwa ikhlas ili kupata radhi za Allah.
- 1
MP4 48 MB 2019-05-02
- 2
YOUTUBE 0 B
- 3
MP3 5.9 MB 2019-05-02