Utamu wa ndoa 09

Utamu wa ndoa 09

Maelezo

Mada hii inazungumzia: Hatari ya mume kumdhalilisha na kumtukana mke na kwamba ni muhimu kuchunga mipaka na kumfanyia mazuri mke, pia imezungumzia ubora wa kujiepusha na kuangalia vitu visivyo halali yako.

Download
Tuma maoni kuhusu ukurasa huu kwa msimamizi