Sherhu Umdatul Ahkam 03

Sherhu Umdatul Ahkam 03

Maelezo

Shekh anazungumzia: Wadhfa wa Hadithi za Mtume (s.a.w) na kwamba zinaweka wazi na kufafanua namna ya utekelezaji wa amri za Qur’an tukufu, pia amezungumza maneno ya Imamu Suyutwi kuhusu cheo cha hadithi za mtume(s.a.w).

Download
Tuma maoni kuhusu ukurasa huu kwa msimamizi