Sherhu Umdatul Ahkam 16
Maelezo
Shekh anazungumzia: Maana ya hadithi kwa ujumla kisha historia fupi ya Swahaba Abuu Hurayra, kisha akabainisha maana ya kauli ya Mtume (s.a.w): (hakubali) katika hadithi, kisha akaweka wazi tofauti baina ya hadath na najsi.
- 1
MP4 55 MB 2019-05-02
- 2
YOUTUBE 0 B
- 3
MP3 6.7 MB 2019-05-02