Sherhu Umdatul Ahkam 17

Sherhu Umdatul Ahkam 17

Maelezo

Shekh anazungumzia: Ufafanuzi wa hadithi ya pili na amenukuu maneno ya shekh Albassam katika kufafanua maana ya hadithi, kisha amebainisha hukumu za hadithi kisha akasisitiza uwajibu wa kutawadha vizuri.

Download
Tuma maoni kuhusu ukurasa huu kwa msimamizi