Sherhu Umdatul Ahkam 20

Sherhu Umdatul Ahkam 20

Maelezo

Shekh anazungumzia: umuhimu wa kutawadha vizuri, na uhatari wa kuharakisha kutia udhu, kisha amewahusia watu waoshe viungo vizuri wakati wa kutawadha, katika hadithi: Udhu ni katika matendo mema, miguu inaoshwa katika kutawadha, mwenye kuacha mabaka katika kutawadha ataadhibiwa.

Download
Tuma maoni kuhusu ukurasa huu kwa msimamizi