Sherhu Umdatul Ahkam 21
Maelezo
Shekh anazungumzia: Ufafanuzi wa hadithi ya nne, ameeleza maana ya hadithi kwa jumla, kisha akabainisha faida za hadithi: kwamba inafaa kupandisha maji puani na kuyatoa, na nisheria kuosha mikono miwili baada ya kuamka usingizini, aliye lala bila kuambatanisha makalio yake anatakiwa atawadhe upya.
- 1
MP4 54.3 MB 2019-05-02
- 2
YOUTUBE 0 B
- 3
MP3 6.7 MB 2019-05-02