Sherhu Umdatul Ahkam 21

Sherhu Umdatul Ahkam 21

Maelezo

Shekh anazungumzia: Ufafanuzi wa hadithi ya nne, ameeleza maana ya hadithi kwa jumla, kisha akabainisha faida za hadithi: kwamba inafaa kupandisha maji puani na kuyatoa, na nisheria kuosha mikono miwili baada ya kuamka usingizini, aliye lala bila kuambatanisha makalio yake anatakiwa atawadhe upya.

Download
Tuma maoni kuhusu ukurasa huu kwa msimamizi