Sherhu Umdatul Ahkam 23
Maelezo
Shekh anazungumzia: ufafanuzi wa hadithi ya tano na amebainisha upotovu wa rai ya dhwahiriya katika hadithi hii, kisha amebainisha faida za hadithi hii ikiwemo: makatazo ya kukojoa katika maji yalio tuwama, na kwamba Uislam unalinda mazingira, uislam unapiga vita uchafuzi wa mazingira, na usafi nikatika imani.
- 1
MP4 53.3 MB 2019-05-02
- 2
YOUTUBE 0 B
- 3
MP3 6.5 MB 2019-05-02