Sherhu Umdatul Ahkam 25
Maelezo
Shekh anazungumzia: Ufafanuzi wa hadithi ya sita, amebainisha kauli za wanachuoni kuhusu najsi ya mbwa, kisha akabainisha uwajibu wa kutumia mchanga katika kuosha najsi, kisha akabainisha faida katika hadithi hii: kwamba najsi ya mbwa na nguruwe ni najsi nzito, mbwa akilamba katia chombo kinakuwa najsi.
- 1
MP4 52 MB 2019-05-02
- 2
YOUTUBE 0 B
- 3
MP3 6.4 MB 2019-05-02