Sherhu Umdatul Ahkam 25

Sherhu Umdatul Ahkam 25

Maelezo

Shekh anazungumzia: Ufafanuzi wa hadithi ya sita, amebainisha kauli za wanachuoni kuhusu najsi ya mbwa, kisha akabainisha uwajibu wa kutumia mchanga katika kuosha najsi, kisha akabainisha faida katika hadithi hii: kwamba najsi ya mbwa na nguruwe ni najsi nzito, mbwa akilamba katia chombo kinakuwa najsi.

Download
Tuma maoni kuhusu ukurasa huu kwa msimamizi