Wasia Wa Mtume (s.a.w) Kwa Muadh 16

Wasia Wa Mtume (s.a.w) Kwa Muadh 16

Maelezo

Mada hii inazungumzia wasia wa mtume s.a.w kwa Muadhi (r.a) ameeleza kuwa tabiya ya mtume ilikuwa Quraan, na ametumwa ili kutimiliza tabiya nzuri, ameongelea njia salama za malezi ya watoto, na njia ya mtume katika kurekebisha makosa.

Download
Tuma maoni kuhusu ukurasa huu kwa msimamizi