عرض المواد باللغة الأصلية

أعلام وشخصيات

عدد العناصر: 153

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 14

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 14

    Shekh Zuberi Athumani: Amemaliza masomo yake katika kitengo cha sheria katik Chuo kikuu cha kiislamu cha Imamu Muhammad Bin Soud Nchini Saudi Arabia. Na ni mlinganiaji maarufu nchini Burundi, pia ni khatwib katika Msikiti wa barabara ya saba Bujumbura Burundi.-

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 24

    Imamu wa Msikiti Mkuu wa Makkah.

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 14

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 13

    Shekh Yusuf Abdi: Ni mlinganiaji kupitia chanel ya Tv Afrika na ni khatwib katika misikiti mbalimbali mjini Mombasa nchini Kenya.-

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 12

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 12

    Sheikh: Zaidi Bashiri ni mmoja katika walinganiaji wa kisunna mwenyeji wa Mombasa Kenya pia ni mwanafunzi wa Sheikh: Abdallah Al-farisi Mfasiri wa Qur’ani tukufu kwa lugha ya kiswahili, nimtowaji wa mawaidha kwanjia ya Ahlu sunna wal-jamaa.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 11

    Shekh Nassor Abdallah Bachu: Alikua ni mlinganiaji maarufu nchini Tanzania, na alikua akitoa Darsa katika misikiti mbalimbali ndani na nje ya visiwa vya Zanzibar, pia alikua ni Imamu na Khatwib katika Msikiti wa Rahaleo Zanzibar mpaka anafariki dunia, Allah amsamehe na amrehem, Ameen!.-

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 11

    Abuu Khalifah Aly bin muhammad Al Qudhwayby,alikuwa katika itikida ya shia,akabadirika akawa katika itikadi sahihi ya sunna,shukurani zote niza Allah.

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 11

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 11

    -Shekh Nurdin Kishki: Ni mlinganiaji na ni Imamu na Khatib katika Msikiti wa Vetinari Temeke Dar es salaam Tanzania.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 10

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 9

    Shekh Husseni Saidi Sembe: Ni mlinganiaji katika mkoa wa Kilimanjaro, na ni Imamu na Khatib katia Msikiti wa Answari Moshi Tanzania.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 8

    -Shekh Salim Qahtwani: Amemaliza masomo yake ya Dini nchini Sudan, kwa sasa ni mlinganiaji kupitia chanel ya Tv Afrika na ni khatwib ktika Misikiti ya Answar Tanga, pia ni mwalimu katika Maahad Imamu Shafii na Ummu Salama, Tanga Tanzania.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 8

    Shekh Muharam Idrisa Mwita: Amemaliza masomo yake katika kitengo cha sheria katika Chuo kikuu cha kiislamu cha Imamu Muhammad Bin Soud Nchini Saudi Arabia. Pia ni mlinganiaji kupitia chanel ya Tv Afrika na ni msimamizi wa lugha ya kiswahili katika Tv Afrika.-

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 7

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 6

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 6

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 6

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 6

    Shekh Ahmad Al Zahran: Ni Muhadhir katika Chuo kikuu cha kiislamu cha Imamu Muhammad Bin Soud Nchini Saudi Arabia. Pia ni mkuu wa Da’awa katika taasisi ya World Assembly of Muslim Youth (WAMY) kwa nchi ya Tanzania, na anafanya kazi katika maktaba ya Jariyat Badia, Rayadh Saudi Arabia.