Abdurahmani bin Abdallah Al-Suhaym kazaliwa katika kijiji cha Basra katika mji wa Burayda Qswim, amehitimu katika Imamu muhamad bin saud islamic University, anafanya kazi ya Daawa chini ya wizara ya mambo ya kiislam na Daawa. (The Ministry of Islamic Affairs, Endowments, Call and Guidance).
Shekh Muhmmad Sharifu Famau: Alikua ni mlinganiaji maarufu nchini Kenya, pia alikua ni Mudir katika Madrast Tawhid mpaka alipofariki dunia katika mji wa Malindi nchini Kenya, Allah amsamehe na amrehem, Ameen!.-
Msomaji Abdul Razak bin Abtan Dulaimi: msomaji wa asili ya Iraq, kajitahidi katika utekelezaji wa usomaji wa Quran tukufu, na amesajili nakala kadhaa za Qur'ani.
Swaleh Al-Zahran amemaliza masomo katika chuo cha Imamu muhamad bi saud University na ana juhudi za Daawa africa mashariki.
سواحيلي
مؤلف,عدد العناصر : 2
Hasan Muhammad Swalih: Ni msomaji Mmisri amezaliwa sehem iitwayo Mahmudiyyah katika mji wa Buheyrah, amehitimu masomo katika Maahad, na akasoma elimu ya visomo kumi, na akajiunga na kitivo cha elimu ya Qur'an, nae ni Imamu katika Markaz ya kiislam katika mji wa New York
Shekh Salim Bafadhili: Ni naibu Mudiri katika taasisi ya Answar, na ni mwalimu katika chuo cha Maahad Imamu Shafii na Ummu Salama, pia ni mlinganiaji katika misikiti ya yote ya Answar Tanga Tanzania.