عرض المواد باللغة الأصلية

أعلام وشخصيات

عدد العناصر: 153

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 5

    Shekh Hilal Shaweji Kipozeo: Ni mlinganiaji maarufu katika nchi ya Tanzania, pia ni mtoa Darsa katika misikiti mbalimbali jijini Dar Es Salaam.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 8

    Mtafiti katika jumuiya ya Mabarh AL-AL & Sahaba Kuwaiti

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 71

    Abdurahmani bin Abdallah Al-Suhaym kazaliwa katika kijiji cha Basra katika mji wa Burayda Qswim, amehitimu katika Imamu muhamad bin saud islamic University, anafanya kazi ya Daawa chini ya wizara ya mambo ya kiislam na Daawa. (The Ministry of Islamic Affairs, Endowments, Call and Guidance).

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 5

    Shekh Muhmmad Sharifu Famau: Alikua ni mlinganiaji maarufu nchini Kenya, pia alikua ni Mudir katika Madrast Tawhid mpaka alipofariki dunia katika mji wa Malindi nchini Kenya, Allah amsamehe na amrehem, Ameen!.-

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 6

  • سواحيلي

    مُراجع, عدد العناصر : 4

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 4

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 4

    Shekh Ally Bahero: Ni miongoni mwa walinganiaji wakubwa Nchini Kenya, pia ni mwalim na ni Khatib Masjid Rahma, Bakarani Mombasa.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 4

    Nimlinganiaji na anajuhudi katika kufanya Daawa na nimtunzi wa vitabu.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 3

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 3

    Msomaji Abdul Razak bin Abtan Dulaimi: msomaji wa asili ya Iraq, kajitahidi katika utekelezaji wa usomaji wa Quran tukufu, na amesajili nakala kadhaa za Qur'ani.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 4

    Abdullah Abdul Ghani Al-Khayyat - Mungu amrehem - imam na khatwibu wa Msikiti wa Makkah hapo awali.

  • سواحيلي

    مؤلف, قارئ, عدد العناصر : 3

    Imam wa Msikiti wa Dakhil Mtaa wa Ghar-natwa mji wa Riyadh.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 3

  • سواحيلي

    مترجم, مؤلف, عدد العناصر : 2

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 2

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 2

    Swaleh Al-Zahran amemaliza masomo katika chuo cha Imamu muhamad bi saud University na ana juhudi za Daawa africa mashariki.

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 2

    Hasan Muhammad Swalih: Ni msomaji Mmisri amezaliwa sehem iitwayo Mahmudiyyah katika mji wa Buheyrah, amehitimu masomo katika Maahad, na akasoma elimu ya visomo kumi, na akajiunga na kitivo cha elimu ya Qur'an, nae ni Imamu katika Markaz ya kiislam katika mji wa New York

  • سواحيلي

    مؤلف, مُراجع, عدد العناصر : 2

    Shekh Muhammad Bawazir: -

  • سواحيلي

    مؤلف, عدد العناصر : 2

    Shekh Salim Bafadhili: Ni naibu Mudiri katika taasisi ya Answar, na ni mwalimu katika chuo cha Maahad Imamu Shafii na Ummu Salama, pia ni mlinganiaji katika misikiti ya yote ya Answar Tanga Tanzania.