Mafhumu ya huria katika uislamu
Mwandishi : Saud bin Ibrahim Al-Shuraim
Maelezo
Mafhumu ya huria katika uislamu:
Katoa khutba ya ijumaa sheikh Suudi shurem -Allah amuhifadhi- katika muskiti wa makkah tarehe 2-11-1432, kazungumzia Mafhumu ya huria katika uislamu, na kabainisha ufahamu ulio sahihi na kuwahadharisha na ufahamu wa kimakosa kutokana na neno hili, na kabainisha ya kwamba uislamu ndio ulio dhamini uhuru kwa kushikamana na maamrisho ya Mwenyezi Mungu na mtume wake (s.a.w).
- 1
PDF 205.5 KB 2019-05-02
- 2
DOC 1.9 MB 2019-05-02
Vyanzo:
Utunzi wa kielimu:
Follow us: