Miezi Maalum Ya Hijja
Mhadhiri : Abuu Hashim Abdulqaadir
Kurejea: Yunus Kanuni Ngenda
Maelezo
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kuitekeleza nguzo ya Hajj, wanaopaswa kuitekeleza na namna ya kuitekeleza, pia imezungumzia miezi maalum ya Hajj kama ilivyotajwa katika Qur’an tukufu ambayo ni Shawwal, Dhul-Qaada na Dhul-Hijja
- 1
MP3 7.3 MB 2019-05-02
Utunzi wa kielimu: