Miongoni Mwa Hukumu Za Kisheria Katika Twahara Na Swala
- Miongoni Mwa Hukumu Za Kisheria Katika Twahara Na Swala
Mhadhiri : Shahidi Muhamad Zaid
Kurejea: Abubakari Shabani Rukonkwa
Maelezo
Muhadhara huu unazungumzia namna ya kutawadha,na kuoga,na kutayamamu,kupaka juu ya khofu,na jinsi ya kutawadha mgonjwa.pia namna ya kuswali,yanayo chukiza katika swala,na yanayo batilisha swala,na sijda ya kusahau,na hukumu ya mtu asie swali.
- 1
Miongoni Mwa Hukumu Za Kisheria Katika Twahara Na Swala
MP3 45.7 MB 2019-05-02
Utunzi wa kielimu: