Kufunga Katika Siku Ya Shaka
Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani
Kurejea: Abubakari Shabani Rukonkwa
Maelezo
Mada hii inazungumzia:Hukumu ya kuutangulia mwezi mtukufu wa ramadhani, na maana ya shaka ilio katazwa kufunga ndani yake, pia kaeleza mwanzo wa kufunga na kufungua, pia kaelezea uwajibu wa kufunga kwa mwezi wa kutangaziwa na waislam.
- 1
MP3 14 MB 2019-05-02
Utunzi wa kielimu: