• Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 3

    Msomaji Abdul Razak bin Abtan Dulaimi: msomaji wa asili ya Iraq, kajitahidi katika utekelezaji wa usomaji wa Quran tukufu, na amesajili nakala kadhaa za Qur'ani.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 4

    Abdullah Abdul Ghani Al-Khayyat - Mungu amrehem - imam na khatwibu wa Msikiti wa Makkah hapo awali.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Msomaji, Idadi ya Vipengele : 3

    Imam wa Msikiti wa Dakhil Mtaa wa Ghar-natwa mji wa Riyadh.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 3

  • Kiswahili

    Mkarimani, Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 2

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 2

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 2

    Swaleh Al-Zahran amemaliza masomo katika chuo cha Imamu muhamad bi saud University na ana juhudi za Daawa africa mashariki.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 2

    Hasan Muhammad Swalih: Ni msomaji Mmisri amezaliwa sehem iitwayo Mahmudiyyah katika mji wa Buheyrah, amehitimu masomo katika Maahad, na akasoma elimu ya visomo kumi, na akajiunga na kitivo cha elimu ya Qur'an, nae ni Imamu katika Markaz ya kiislam katika mji wa New York

  • Kiswahili

    Mtunzi, Mwenye kufanya Marejeleo, Idadi ya Vipengele : 2

    Shekh Muhammad Bawazir: -

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 2

    Shekh Salim Bafadhili: Ni naibu Mudiri katika taasisi ya Answar, na ni mwalimu katika chuo cha Maahad Imamu Shafii na Ummu Salama, pia ni mlinganiaji katika misikiti ya yote ya Answar Tanga Tanzania.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 2

    Msomaji wa asili wa Yemen, naye ni imamu na khatwibu wa msikiti wa Khalid bin Walid Al-Rayyan, Qatar.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Msomaji, Idadi ya Vipengele : 2

    Kazaliwa Makkah, na ana Shahada ya Kwanza ya Qur'an Mafunzo ya Chuo cha Walimu Jeddah, nae ni mmoja wa maimamu wa misikiti Jeddah, Saudi Arabia.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 2

    -Shekh Saidi Mtatuu Mango: Ni mwanafunzi katika Chuo kikuu cha kiislamu cha Imamu Muhammad Bin Soud Nchini Saudi Arabia. Pia ni mlinganiaji katika mji wa Singida.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 2

    Sheikh Hamza Rajabu Seyfu ni mmoja katika walinganiaji wa mji wa Mwanza nchini Tanzania kamaliza chuo kikuu nchini Saudi arabia kitengo cha Sheria (Usuluddin) ni Imamu na khatwibu katika masjid Taqwa jijini Mwanza yupo katika manhadi ya salafu sswaleh.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

    Msomaji wa asili ya Pakistan sauti yake nzuri na kisoma safi.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

    Shekh Jabir Yusuf Katura: Amemaliza masomo yake katika chuo kikuu cha kiislam Madina nchini Saudi Arabia. Kwa sasa ni mlinganiaji na khatwib katika Msikiti wa Ijumaa Mwanza, pia ni Mudir katika Markaz ya Thaqafah, Mwanza Tanzania.-

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

    Shekh Juma Amir: Ni mlinganiaji na Khatib katika Msikiti wa Jamia Nairobi Kenya.-